Simba wanataka pointi tatu za Prisons

JOHN Bocco nahodha wa Simba ameweka wazi kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kupata matokeo ya ushindi kwenye mechi zote wanazocheza ikiwemo ya leo dhidi ya Prisons.

Mchezo unafuata wa Simba ni dhidi ya Tanzania Prisons unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa saa 12:15 jioni.

Simba wanataka pointi tatu za Prisons

Ni mchezo wa kisasi kwa Prisons kwani mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Sokoine Mbeya ulisoma Tanzania Prisons 0-1 ambapo bao la ushindi lilifungwa na Jonas Mkude.

Simba wanataka pointi tatu za Prisons

Mkude alitumia pasi ya mwamba Kibu Dennis ambaye alitoa pasi yake ya kwanza msimu wa 2022/23.

Bocco amesema:”Tunajua ushindani kwenye ligi ni mkubwa nasi tunahitaji kupata matokeo chanya kwenye kila mechi,”.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.