Ihefu Yawatema Watano

Klabu ya Ihefu FC imeachana na wachezaji wao watano baada ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa siku chache zilizopita.

 

Ihefu Yawatema Watano

Wachezaji hao walioachwa na klabu ni pamoja na Joseph Kinyozi, Omary, Mujwahuki, Sadoki na Oviedo ambao klabu imeona hawapo kwenye mpango wao hivyo ni vyema kuachana nao.

Taarifa hiyo imetoka kupitia ukurasa wao wa Instagram wakiwashukuru kwa kipindi chote ambacho walikuwepo klabuni hapo huku ligi ikiwa imesimama kupisha Michuano ya mapinduzi kuendelea.

Ihefu Yawatema Watano

Timu hiyo ipo nafasi ya 13, baada ya kucheza michezo 19, na kujivunia pointi zao 20 wakiwa wameshinda mechi mbili mfululizo. Mechi inayofuata watacheza dhidi ya Yanga kwa Mkapa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.