Jorginho Atimkia Arsenal, Arteta Apata Mpigaji Penati Mzuri

Muda wa Jorginho na Chelsea unakaribia kuisha huku kiungo huyo akiwa tayari kujiunga na Arsenal katika masaa machahce kabla ya dirisha la usajili kufungwa. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

 

jorginho
Jorginho kwenye uzi wa Arsenal

Ni hatua ambayo imetoka nje, huku The Gunners wakigeukia kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia baada ya kukubali kushindwa katika harakati zao za kumsaka Moises Caicedo. Wengine hawajafurahishwa na mpango huo, hata hivyo.

Arsenal walikuwa na matumaini ya kumsajili Caicedo mwezi huu, huku nyota huyo wa Brighton akiwa tayari kuondoka Amex kuelekea Uwanja wa Emirates. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

 

Caicedo

Lakini, sasa, Jorginho anatazamiwa kujiunga badala yake  kwa dau la Paundi Milioni 12.

Arsenal wako tayari kulipa paundi milioni 12 ili kumnasa nyota huyo wa kimataifa wa Italia huku wakipania kuongeza nafasi yao ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31, ambaye ameshinda Ligi ya Mabingwa, Ligi ya Europa, UEFA Super Cup na Kombe la Dunia la Klabu wakati akiwa Stamford Bridge, atasaini mkataba wa miezi 18. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!

Walakini, sio kila mtu anafurahi, wengi wanahisi Chelsea inaiuzia Arsenal kigogo mwingine, baada ya hapo awali kufanya vivyo hivyo na Petr Cech, David Luiz na Willian. Meridianbet wanatoa ODDS kubwa kwenye mechi zote. Bashiri hapa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.