Pogba na Juventus Huenda Wakifika Mwisho

Kiungo wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa Paul Pogba ambaye amewahi kukipiga klabu ya Manchester United huenda akafikia mwisho ndani ya klabu hiyo.

Vyanzo mbalimbali kutoka nchini Italia vinaeleza kua mchezaji huyo huenda Pogba akaondoka Juventus kwenye dirisha hili, Huku ikielezwa Juventus ndio inatoa kipaumbele kuachana na mchezaji huyo.PogbaMchezaji huyo amekua akiandamwa na majeraha ndani ya klabu ya Juventus tangu amejiunga mwishoni mwa msimu uliopita akitokea Man United, Hivo kukosekana kwake uwanjani kumeifanya Juventus kuachana na mchezaji huyo.

Wababe hao wa soka nchini Italia wanataka kuachana na Pogba kutokana na kutokuwepo uwanjani mara kwa mara, Hivo jambo ambalo wanalifikiria ni kukaa chini na mchezaji huyo na kuangalia namna ambayo wataweza kumalizana.PogbaPaul Pogba inaelezwa amepokea ofa tofauti tofauti kutoka vilabu vya Saudia ambavyo vimeonesha kuhitaji huduma yake, Huku klabu ya Juventus wao watahitaji kiasi cha Euro milioni 10 tu ili kumuachia kiungo huyo kama timu itakuja na ofa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.