Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Real Madrid inaamini kuwa mshambuliaji Kylian Mbappe ,21, atakuwa na mazungumzo nao kuhusu uhamisho kutoka Paris St-Germain.

Liverpool ina mpango wa kumuuza beki wake Dejan Lovren,31, ingawa anatafuta kuongeza mkataba wake.

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic, 38, amesema hana uhakika kuhusu mustakabali wake ndani ya AC Milan kwa kuwa hakuna mazungumzo yoyote yaliofanyika kuhusu mkataba ikiwa sasa ni chini ya mwezi mmoja kabla ya mkataba wake kufikia ukingoni.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

 

Kai Havertz anataka kuondoka Bayer Leverkusen kwasababu walishindwa kufuzu katika michuano ya klabu bingwa Ulaya hivyobasi Chelsea watalazimika kuhakikisha wanafuzu katika michuano hiyo ili kumshawishi kiungo huyo wa Ujerumain 21 kujiunga na timu hiyo.

Bayern Munich wanajiandaa kuanza mchakato wa kumnasa Tanguy Ndombele ,23, wa Tottenham na Mfaransa mwenzie anayecheza katika nafasi ya kiungo cha kati katika klabu ya Monaco, Tiemoue Bakayoko,25.

Tetesi zinataarifu Nice imetoa ofa kwa kiungo wa kati Mhispania Rony Lopes anayekipiga Sevilla.

Mkurugenzi wa michezo katika klabu ya Norwich Stuart Webber amesema kwamba ombi la kutaka kumnunua mchezaji kinda mwenye kipaji mwisho wa msimu litaanza kwa dau la £20m .

Tetesi ndani ya Klabu ya  zinasema Brentford inamlenga winga wa Portsmouth Ronan Curtis, 24 kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Said Benrahma ikiwa ataondoka kwenye klabu hiyo.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

 

Rais wa Barcelona Josep Maria Bartomeu amekataa uwezekano wa mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar,28, kurejea Nou Camp lakini amesema klabu inafikiria uhamisho wa mshambuliajji wa Inter Milan Muajentina Laitaro Martinez, 22.

Bartomeu pia amesema ana ”uhakika” mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi,33, atasalia Nou Camp zaidi ya mwaka ujao.

Manchester City itatoa ofa kwa kocha Pep Guardiola ya mkataba wa muda muda mrefu baada ya marufuku dhidi ya klabu hiyo kufutwa.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Guardiola atapatiwa karibu kitita cha pauni milioni 150 kwa ajili ya kukipa nguvu kikosi cha City.


Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu

Bonyeza HAPA Kujiunga.

43 Komentara

    Zaltan imefikia pahala sasa inabidi apumzike

    Jibu

    Habari nzuri sana hii

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa #meridianbet

    Jibu

    Habari njema sana hasa kwangu shabiki wa Chelsea

    Jibu

    Kwa Real Madrid Mbabe litakua chaguo sahihi kwao sababu Benzema umri ushamtupa mkono katika soka ila kwa Ibra Kadabra naona ni wakati sahihi wa kutundika daluga sasa kutokana na umri wake wa miaka 38 hivyo ni vizuri astaafu soka akiwa bado na heshima zake vile vile nadhani anaweza kuja Uingereza kuwasaidia Arsenal kwa mwaka mmoja kwani Arsenal ipo dhofuli hali kwenye ushambuliaji.

    Jibu

    Upande wa man city kumuongezea mkataba kocha wao ni vizuri sana guardiola bado hania sana na man city juudi zake tumeziona

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema hii#meridianbettz

    Jibu

    Ni habar nzur

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Zaltan inabidi upumzike maana umri wake umeshaenda

    Jibu

    Goodnews#meridianbet

    Jibu

    Habari njema #meridianbet

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki

    Jibu

    Habari nzuri Sana kwetu mashabiki wa chelsea

    Jibu

    Mambo ni mazuri na meridian bet

    Jibu

    Wazee wa kutumia pesa wanapigana vikumbo huko sokoni maana muda no mchache sanaa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habali njema kwetu mashabiki

    Jibu

    Mambo matamu na meridianbet

    Jibu

    huyu Zlatan si afanye mpango astaafu tu

    Jibu

    Manatujuza meng axanten sana

    Jibu

    Habar niliyoipenda ni hii Chelsea iko tayari kumpatia kipa wa Atletico Madrid na Slovenia Jan Oblak ofa £90.7m. (AS – in Spanish)
    Paris St-Germain inamlenga mshambuliaji wa Manchester United na Marcus Rashford, 22,. (Independent)
    Barcelona inamuuza kiungo mchezeshaji wa Brazil Philippe Coutinho, 28, kwa Arsenal na Newcastle huku wakijaribu kutafuta fedha za kumnunua mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22. (Goal)

    Jibu

    Pamoja na tetesi hizi sioni kama mwaka usajiri utatumia hela nyingi#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa habari nimefahamu mengi kuhusu michezo

    Jibu

    Habari njema kwetu

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Madrid wamekua wakimtaka mbappe mda sana

    Jibu

    Na Corona hii team zitakua na ubahili

    Jibu

    Asanteni meridian kwa taarifa nzuri

    Jibu

    Tetesi za uhakika nazipataga hapa hapa meridianbet.

    Jibu

    Maoni:Habari njema

    Jibu

    Wakati wa kumshukuru Lovren kwa kila alichofanya Liverpool umefika atafute club kupisha maingizo mengine

    Jibu

    mbappe anataka kuhama au..

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari za Neymar ni kizungumkuti sana

    Jibu

    Wakati wa wachezaji kupiga pesa.

    Jibu

    Safii hii nimeipenda

    Jibu

    Safii kila mmoja yupo mbion kufanya usajili

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    zlatan mbona hataki kustaafu huyu mzee inabidi wamstaafishe tu

    Jibu

    Hii habari mzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.