Samuel Umtiti Augua Covid-19.


Beki Samuel Umtiti wa Barcelona, 26, ameugua ugonjwa wa Covid-19.

Nyota huyo mzawa wa Ufaransa hajawahi kuwajibishwa katika mchuano wowote tangu Julai 2020 baada ya kupata jeraha la goti.

Kwa mujibu wa Barcelona, Umtiti ambaye anahusishwa pakubwa na uwezekano wa kutua Arsenal muhula huu, hakuonyesha dalili zozote za kuwa na virusi vya corona alipofanyiwa vipimo vya afya.

 

Samuel Umtiti Augua Covid-19.

“Klabu imewataarifu maafisa wa afya na vinara husika kambini mwa Barcelona kuhusiana na tukio hilo na kwa sasa watu wote waliotangamana na Umtiti wanatafutwa ili kudhibiti msambao zaidi wa virusi hivyo,” ikasema sehemu ya taarifa ya miamba hao wa soka ya Uhispania.

Kabla ya kushuka dimbani kuvaana na Bayern Munich kwenye robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) mnamo Agosti 14, 2020, Barcelona walikuwa wameripoti kwamba mwanasoka mmoja kambini mwao alikuwa na virusi vya corona.

 

Samuel Umtiti Augua Covid-19.

Ingawa jina la mchezaji huyo lilibanwa wakati huo, sasa Barcelona wamefichua kwamba mchezaji huyo ni beki Jean-Clair Todibo, 20.

Chipukizi huyo alikuwa miongoni mwa wachezaji tisa wa Barcelona waliokuwa wakirejea kambini kujiandaa kwa mapambano ya msimu ujao wa 2020-21.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

Soma zaidi

42 Komentara

    Mungu amponye

    Jibu

    Pole sana Samuel

    Jibu

    Maoni:atakuwa sawa tu nakuludi kwenye kiwango chake kama awali

    Jibu

    mwenyezi atakufanyia wepesi

    Jibu

    Janga la corrona sijui ni lini litaondoka maana linatia wasi wasi kwa wana michezo ulimwenguni.

    Jibu

    Duu pole Sana mungu atamponya Samuel Umtiti

    Jibu

    Pole sana samuel

    Jibu

    Ugua pole Umtiti, have a quick recover

    Jibu

    Hii ni habari mbaya kambini mwa Barcelona ambayo Ijumaa imetoka kupokea kipigo cha historia mbele ya Bayern#meridianbettz

    Jibu

    Pole kijana kwa ugonjwa huo na maumivu ya kufungwa na Bayern

    Jibu

    Get well soon sam

    Jibu

    Pole sana samweli umtiti kuugua ibada hivyo basi mshukuru sana mungu ila utapona

    Jibu

    Ugua pole mwamba wa ufaransa umtiti

    Jibu

    Pole kwa Samuel mungu amfanyie wepesi.

    Jibu

    Corona inazidi kujenga tahamaki kubwa kwa Wana michezo.

    Jibu

    Pole Samuel utakaa sawa soon

    Jibu

    Pole sana samuel

    Jibu

    Mungu amfanyie wepesi

    Jibu

    Mungu afanye wepesi

    Jibu

    pole yake

    Jibu

    Hii corona sasa inaharibu kabisa radha ya mpira.

    Jibu

    Pole yake umtiti covid ni shida sana

    Jibu

    Pole sana.

    Jibu

    Pole yak

    Jibu

    Pole sana umtiti utapona na utarejea mchezoni msimu ujao

    Jibu

    Sorry for him

    Jibu

    Get well soon 🙏🏼🙏🏼

    Jibu

    Pole

    Jibu

    corona sasa inaharibu kabisa radha ya mpira.

    Jibu

    Get well soon umtiti.

    Jibu

    Pole Sana umtiti

    Jibu

    Hii Corona Jamani sio poa#Meridianbettz

    Jibu

    pole kwake atapona atakuwa vizuri

    Jibu

    Pole yakeee

    Jibu

    Covid 19 inaleta tahamaki kubwa sana kwa wana michezo.

    Jibu

    pole yake mungu atamsaidia atapona haraka#meridianbettz

    Jibu

    Habar ya kusikitisha sana mwenyez MUNGU amsaidie alone

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Samweli tangawiz limao na nyungu utakaa poa na kila kitu kitaendelea

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.