Hilton Mchezaji Mkongwe Zaidi Kuchezea Ligue 1.


Nahodha wa Montpellier, Vitorino Hilton aliweka historia ya kuwa mchezaji wa kwanza baada ya miaka 64 mwenye umri wa zaidi ya miaka 43 kusakata soka ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1).

Hii ni baada ya sogora huyo mkongwe kuwa sehemu ya kikosi cha Montpellier kilichowapepeta Olympique Lyon 2-1 mnamo Septemba 15, 2020.

 

Hilton Mchezaji Mkongwe Zaidi Kuchezea Ligue 1.

Hata hivyo, alionyeshwa kadi nyekundu mwishoni mwa mechi hiyo kwa utovu wa nidhamu. Kosa lake lilichangia penalti iliyofungwa na fowadi wa zamani wa Manchester United, Memphis Depay katika dakika ya 82.

Hilton ambaye alifikisha umri wa miaka 43 mnamo Septemba 13, amekuwa akisakata soka barani Ulaya tangu 2002.

Mabao yote mawili ya Montpellier ambao kwa sasa wanashikilia nafasi ya tano jedwalini, yalifungwa na Teji Savanier katika dakika ya 38 na 59 mtawalia.

 

Hilton Mchezaji Mkongwe Zaidi Kuchezea Ligue 1.

Ushindi kwa Lyon ungaliwakweza kileleni mwa jedwali la Ligue 1 ila wakajipata wakimaliza mechi na wachezaji 10 pekee uwanjani baada ya kiungo Houssem Aouar anayehusishwa pakubwa na Arsenal kuonyeshwa kadi nyekundu kunako dakika ya 44 kwa hatia ya kumchezea visivyo kiungo Arnaund Souquet.

Kufurushwa kwa Hilton na Aouar kunamaanisha kwamba jumla ya kadi 20 za rangi nyekundu zimetolewa hadi kufikia sasa kwenye soka ya Ligue 1 tangu mwanzoni mwa msimu huu wa 2020-21.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

47 Komentara

    Duuh hatari sana miaka yote hiyo na bado ananguvu ya kuipambania timu sio mchezo jamani

    Jibu

    Kazi na umri..

    Jibu

    Hongera Sana jamaa kwa kazi nzuri

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    yuko vizuri

    Jibu

    Anastahili pongezi kwake@meridianbettz

    Jibu

    Pongez kwake

    Jibu

    Hilton yupo vizuri ingawa umri umeenda lakini bado ananguvu za kutumikia klabu yake

    Jibu

    Hilton hanajituna sana kwa umri alio kua nao hitachukua mda sana kustaafu

    Jibu

    Umri wake mkubwa lakini bado yupo fiti

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Mkongwe kazini

    Jibu

    Duhh kweli mkongweee

    Jibu

    Naam kweli anastahili pongezi kwake

    Jibu

    Yuko vizur#Meridianbettz

    Jibu

    Ukogwe katika kazi na kujituma kwake!!

    Jibu

    Mzee wakuli sakata kabumbu mkongwe bado anadai

    Jibu

    Mkongwe kazini

    Jibu

    Kweli ng’ombe hazeeki maini

    Jibu

    Hilton kibibi kizee cha Montpellier

    Jibu

    Namba ya umri inasoma lakini kipaji hakipotei mzee piga kazi

    Jibu

    Kipaji hakipotei

    Jibu

    Kazi na umri#meridinbettz

    Jibu

    Old is gold

    Jibu

    Kwan ajui kuwa kazi na umri

    Jibu

    Yupo vizuri japo umri umeenda

    Jibu

    Hilton yuko vizuri sana

    Jibu

    vizr

    Jibu

    Safi kjn

    Jibu

    Yupo vizur

    Jibu

    saf

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Ila yupo vizuri

    Jibu

    Japo kazii na umrii ila km nguvu bado zipo na anaonyesha umahiri wake aendelee

    Jibu

    Amejitahid kulinda kiwango chake

    Jibu

    Anastahili pongezi hadi hapa alipofikia.

    Jibu

    Namba ya umri inasoma lakini kipaji hakipotei mzee piga kazi

    Jibu

    Congrat kwake

    Jibu

    Kweli ngombe hazeeki maini,piga kazi kama nguvu bado ipo umri namba tuu zisikutishe!!

    Jibu

    uyu jamaa ni noma yupo vizuri sana anajua mpira sana

    Jibu

    Hongera Sana jamaa kwa kazi nzuri

    Jibu

    Ipo poa hii asante

    Jibu

    Ule usemi ya kwamba ng’ombe hazeeki maini.

    Jibu

    Nc

    Jibu

    Rekod nzuri bado mwili upo poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.