Bournemouth Uso kwa Uso na Man-City Carabao Cup.


Bournemouth waliwapiga Crystal Palace 11-10 kupitia mikwaju ya penalti kwenye raundi ya pili ya Carabao Cup baada ya kuambulia sare tasa mwishoni mwa dakika 90 mnamo Septemba 15, 2020.

Ushindi wa Bournemouth uliwakatia tiketi ya kuchuana sasa na mabingwa watetezi Manchester City kwenye raundi ya tatu wiki ijayo.

 

Bournemouth Uso kwa Uso na Man-City Carabao Cup.

Baada ya wanasoka wote 20 (isipokuwa makipa), kufunga penalti zao, mlinda-lango Wayne Hennessey aliudaka mkwaju wa kipa Asmir Begovic wa Bournemouth kabla ya  yeye mwenyewe kuupaisha mkwaju wake juu ya mlingoti.

David Brooks alifunga mkwaju wake wa pili wakati wa kuchanjwa kwa penalti huku Begovic akipangua kombora la Luka Milivojevic kwa upande wa Cherries na kuwapa fursa ya kusonga mbele.

 

Bournemouth Uso kwa Uso na Man-City Carabao Cup.

Bournemouth walitamalaki mchezo, wakawazidi maarifa wapinzani wao katika takriban kila idara na kuwaelekezea makombora 17 yaliyolenga shabaha.

Palace walifanya majaribio manne pekee langoni pa The Cherries walioshushwa daraja kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mwishoni mwa msimu wa 2019-20 baada ya kipindi cha miaka mitano.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

45 Komentara

    Good news

    Jibu

    Ushindi wa Bournemouth uliwaweka Kayla utetezi WA mabingwa wakikutana na man city round ya tatu

    Jibu

    Tunasubiri mtanange

    Jibu

    Man City anashinda mapema tu

    Jibu

    habari njema

    Jibu

    Very good 👍@meridianbettz

    Jibu

    Mechi naisubilia kwa hamu inaonekana itakuwa na upinzani mkubwa sana

    Jibu

    Mpira magoli tuone dakk 90

    Jibu

    Man city awana kazi kubwa sana katika hii mechi

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Bourner watatupwa nje ya mashindano kirahisi tu

    Jibu

    Bournemouth watachomoa kweli

    Jibu

    Mechi ngumu

    Jibu

    Apatoshi mtanange huo patachimbika furu nyavu kutingishwa kwenye lango lamtu hapo

    Jibu

    Tunasubil mtanange huo kwan mpira dakika 90 ndio muamuz#Meridianbettz

    Jibu

    Akuna ajuwahee nani ni nani juu mpira ni mchezo wa uongo lolote lawezekana Bournemouth ata nena baada ya 90!!

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Man City anashinda

    Jibu

    Ake kuwanyonga ndugu zake

    Jibu

    Mpira ni dakika 90 lakini mechi itakuwa sio ya mchezo mchezo ,acha tuone

    Jibu

    Ngoja tuone matokeo

    Jibu

    Asante kwa nakala#meridianbettz

    Jibu

    Mtanange utakua wa kufa mtu

    Jibu

    Msimu huu EPL inaushindan mkubwa sana hapa wasipoangalia Manchester city wanaweza kufungwa na Bournemouth kwan tunatambua uwezo wa wachezaji wa Bournemouth wako vzur sana 👍

    Jibu

    Tusubili matokeo Moira dk90

    Jibu

    Man city leo nilazima afanye maajabu

    Jibu

    Leo ndio leo

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hawana chao

    Jibu

    duuh

    Jibu

    Mamb mazr

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Tusubiriee dakika za mwisho tujue mbabee wao

    Jibu

    Huu mzg km mkubwa Kwa Bournemouth

    Jibu

    Hii ndo safari ya mwisho ya Bournemouth kwenye haya mashindano.

    Jibu

    Bourner watatupwa nje ya mashindano kirahisi tu

    Jibu

    Don’t miss

    Jibu

    Hatari lakini salama!!!

    Jibu

    man city sidhani kama watakubali kupokea kichapo kirahisi

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Mtanange mtamu

    Jibu

    🙊

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.