Hatma ya Dele Alli Baada ya Kutemwa Kikosini

Kuna sintofahamu Spurs juu ya hatma ya Dele Alli baada ya kuachwa kwenye kikosi cha Tottenham Hotspurs kilichosafiri kwenda Bulgaria kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Europa dhidi ya Lokomotiv Plovdiv.

Taarifa zinasema kuwa nyota huyu anatarajiwa kuondoka klabuni hapo kabla ya kufungwa kwa dirisha la uhamisho, awali akiwa anahusishwa na dili la mabadilishano na nyota wa Real Madrid Gareth Bale, ambalo Madrid walilikataa.

Mail Online wanaamini kuwa Jose Mourinho anataka Alli aondoke ili aweze kupata nafasi ya kumuweka Bale ambaye dili lake linatajwa kuwa ukingoni kukamilika kwa mkopo wa mwaka mmoja.

Maswali juu ya hatma ya Dele Alli yalianza baada ya kuhusishwa na mpango wa kubadilishana wachezaji, lakini kuachwa kikosini kunachukuliwa kama hatua inayotoa ishara zaidi kuwa Mourinho anaweza kuwa hana mpango na staa huyu.

Japokuwa taarifa zake hazipo wazi sana juu ya vilabu vyote vilivyowasilisha ofa zao rasmi kuiwania saini yake, ipo wazi kuwa PSG na Inter Milan ni miungoni mwa klabu ambazo zinaifukuzia saini yake.

 


 

SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

39 Komentara

    Uwezo wake unajulikana wasimuache kabisa

    Jibu

    Bora aende zake psg tu

    Jibu

    Inavoonekana Jose mourihno ameshamchoka dele bora asepe zake

    Jibu

    Wamfikirie, anajitahidi sana.

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Dele ajiongeze akatafute kambi sehemu nyingine huenda atapata mafanikio

    Jibu

    Mashabiki tunashukuru kwa taarifa@meridianbettz

    Jibu

    Wamchukue tu mbona kijana yuko vizur

    Jibu

    Bora aende zake psg

    Jibu

    Dele hana bahati na kikosini akiwa na Toattenham kwa sasa angeangalia timu akapate changamoto kwingine ila Bale atasaidia pale kama wakimchukua

    Jibu

    Wanataka kubadilishana wachezaji.

    Jibu

    Haya ndio maisha ya mpira clabu inatamani kumchezaji mwengine na kusahau yule wa kwanzo yote yote hayo ni kutaka clabu hifike maali fluni hau kuvuka sehemu ilipo..!dele haende tu PSG atakua mbadala wa mbappe

    Jibu

    Bora aende zake psg#Meridianbettz

    Jibu

    Achukuliwe si mbaya atazidi kujiimarisha!!

    Jibu

    Duuuuu hatari

    Jibu

    Kocha Jose Mourihno ameshamchoka maana huyo huwa anajilikana mzee wa mabifu ,so nq mchezaji mwenyewe hana bahati na kikosi icho kwahiyo aangalie plan B

    Jibu

    Hatari sana#meridianbettz

    Jibu

    mourihno ameshamchoka

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Duuh majanga hayo

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Achukuliwe tu. …anayaweza mapambano

    Jibu

    hatar

    Jibu

    Duu hatariii tupu

    Jibu

    Hii simchezo

    Jibu

    Namkubar Sana dele

    Jibu

    Asepe tu asijari wala nn

    Jibu

    Sio mbaya kokote kule kambi.

    Jibu

    Dele hana bahati na kikosini akiwa na Toattenham kwa sasa angeangalia timu akapate changamoto kwingine ila Bale atasaidia pale kama wakimchukua

    Jibu

    Dele Alli Hana nafas Kama mpango wa bale kurejea spurs hvyo Mourinho anaona Bora amuhuze ilikutopotezah kiwango chake kuliko kukaa benchi spurs

    Jibu

    Atafute chaka lingine tuu kama thamani yake imeisha apo!!!

    Jibu

    dele atafute tu kambi nyingine kwa uwezo aliokuwa nao makini anapata tu

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Ni vema akisalia PSG.

    Jibu

    Jamanii

    Jibu

    Asepe tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.