Moyes, Diop Wakutwa na Virusi vya Corona.


Kocha mkuu wa West Ham, David Moyes amekutwa na Virusi vya Corona pamoja na wachezaji wake wawili ambao ni Issa Diop na Josh Cullen.

West Ham ilipokea majibu hayo muda mfupi kabla ya kuanza kwa raundi ya tatu ya mchezo wao wa Carabao Cup dhidi ya Hull uliochezwa Jana, Septemba 22 Uwanja wa London.

 

Moyes, Diop Wakutwa na Virusi vya Corona.

Mchezo huo West Ham ilishinda kwa mabao 5-1 ambapo watupiaji walikuwa ni Robert Snodgrass dk 18, Sebastian Haller 45,90+1 na Andry Yarmolenko 56,(p) na 90 lile la Hull City lilipachikwa na Mallik Wilks dk 70.

Taarifa kamili iliyotolewa na uongozi wa West Ham umethibitisha kwa kusema kuwa wachezaji hao pamoja na meneja wa timu hiyo wamekutwa na Virusi vya Corona kwa sasa wapo kwenye uangalizi.

 

Moyes, Diop Wakutwa na Virusi vya Corona.

West Ham United inathibitisha kwamba David Moyes, Issa Diop na Josh Cullen wamekutwa na Covid -19. Tunawawaombea warejee kwenye ubora wao na tutafuata taratibu zilizowekwa na Ligi Kuu England kwa ajili ya kujali afya zao na zetu pia.”

Kwenye mechi hiyo kocha msaidizi Alan Irvine alichukua majukumu ya kukiongoza kikosi hicho.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

39 Komentara

    Pole yao mungu awasaidie watapona

    Jibu

    Duh pole Yao

    Jibu

    Corona bado ipo wachukue tahadhari

    Jibu

    Corona ni tishio jamn pole yao

    Jibu

    Corona noma.

    Jibu

    Polee

    Jibu

    Pole yake david

    Jibu

    Corona hatari sana

    Jibu

    David pole Sana

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Aya magonjwa hajaishi tu …

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Corona ipo jamani msijisahau kufuata vigezo na masharti ya kujikinga!!

    Jibu

    Huu ugonjwa kwa kweli mungu hatuepushie tu

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Pole sanaa

    Jibu

    huu ugonjwa mungu tu atusaidie jamani maana umekuwa tishio la dunia

    Jibu

    I feel sorry for them

    Jibu

    Duuu pole sana

    Jibu

    Sad news

    Jibu

    Poleni sana kwa kiguuwa covid 19

    Jibu

    Corona bado tishio

    Jibu

    Corona imekuja kuharibu maisha ya watu

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Jamn team itafundishw na nan af ligi imeanza

    Jibu

    Corona teeeena

    Jibu

    Korona ni tishio

    Jibu

    Duh pole sana

    Jibu

    atapon acjl

    Jibu

    hili gonjwa bado halijaisha tu

    Jibu

    Pole Asante

    Jibu

    Dah pole yake,maana hili gonjwa bado linatutesaa

    Jibu

    Corona inatunyima Raha sana kwenye ulimwengu katika nyanja zote

    Jibu

    Duu sio poa Corona ni gonjwa atari

    Jibu

    Poleeh

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Japo la kufurahisha maisha yanaendelea hata baada ya watu kupata Corona sio kama awali michezo ilisimamishwa kabisa#meridianbettz

    Jibu

    Jambo la kufurahisha maisha yanaendelea hata baada ya watu kupata Corona sio kama awali michezo ilisimamishwa kabisa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.