Manchester United wamefanikiwa kuwafunga Luton katika mzunguko wa nne wa kombe la Carabao kwa mabao 3-0 wakiwa Ugenini.
Ole Gunnar Solskjaer alifanya mabadiliko 10 katika kikosi kilichoadhibiwa 3-1 nyumbani dhidi ya Crystal Palace siku ya Jumamosi katika ufunguzi wa Ligi kuu ya nchini Uingereza.

Magoli ya Manchester United yalifungwa na Juan mata aliyefunga kwanjia ya mpira wa adhabu kabla ya kipindi cha kwanza, ubora wa Rashford na Greenwood uliwasaidia kuandika mabao mengine dakika za jioni, dakika 88 na 90+3 mtawalia.
Juan Mata alionyesha mchezo mzuri huku akiwa mwiba zaidi uwanjani na kufanikiwa kuifungia Manchester goli la penati dakika ya 44.
“Kuendelea mbele ni jambo kubwa. Tumekuwa na kipa aliyefanya kazi yake, na kufunga magoli mazuri mwishoni na yameonekana matokeo ya ubora wao (Rashford na Greenwood ), Ukiachana na hayo tumekuwa na mchezo mzuri.” alisema Solskjaer baada ya mchezo.

Vikosi Vilivyoanza.
Luton: Shea, Kioso, Lockyer, Bradley, Norrington-Davies, Clark, Tunnicliffe, Moncur, LuaLua, Hylton, Shinnie.
Subs: Cornick, Lee.
Manchester United: Henderson, Wan Bissaka, Bailly, Maguir, William, Fred, Matic, Mata, van de Beek, Lingard, Ighalo.
Subs: Rashford, Greenwood, Bruno Fernandes.
Mchezaji Bora wa Mchezo: Juan Mata.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Angelina
Bora tumefuta aibu
Mwajumah
Mau u naona wamejitutumua sana ili kuifuta aibu yao kwa hao vibonde wao
Caroline
Hongera Man U
Fatuma kasomo
Safi
Fatina
Safii
Dorophina
Bora man u wamefuta aibu
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa kutufutia aibu
Sauda
Afadhali..
Salma ngende
Vizuri
Latifa juma mohamed
Hongera man u.
Rose kapinga
Sio mbaya wamefuta machungu kidogo!!!
Zeiyana
Man u kama wataendelea hivi moja kwa moja wanapelekea kurudisha timu yao kwenye ubora
Hopemwaikuka
Gud job
magdalena
united wanatuangusha sana mashabiki wao ila kwa iyo gemu walijitahidi kidogo
Samiah
Gud job
Shani
Hawa watu ubora wao unakua baadhi ya mechi tu tunataka timu yenye ushindani
Venerose
Big up man
Saupha mohamed
Safi sana man u
Neema
Kwa kweliii wamefuta aibuu
aisha
Pongezi kwa man u
Gabriel
Manchester United Jana walicheza mpira mzur sana
Hidaya
Hongera kwa man u
Shan
Hongera kwa man
Amiri Kayera
Man u gar la mkaa
Khadija
Afadhari man u maana ingekuwa aibu
Issa
Dean mwanzo mzuri
Sabrina
Safi sans man u
felister
afadhali
Rehema
Good
Elika
Angalau kidogooo,man nao wafujivua gamba
Ernest
Hakuna jipya hapa
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi kwa Man U
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Tatu
Wamejitahi kwa kweli
Sadick
Ulikuwa mwanzo mbaya kwa Man U kufungwa 3 nyumbani#meridianbettz
David Pere
united wanatuangusha sana mashabiki wao ila kwa iyo gemu walijitahidi kidogo