Nyota wa Barcelona Sergi Roberto amesema kuwa hapati picha Barcelona itakuwaje bila Messi na alikuwa anaomba sana Lionel Messi kubaki Camp Nou.
Messi alishangaza ulimwengu mwezi uliopita wakati aliweka wazi juu ya nia yake ya kuondoka kwa miamba ya LaLiga, huku mchezaji huyo wa miaka 33 akikusudia kuondoka bure kama mchezaji huru mwishoni mwa msimu uliopita.
Hata hivyo, suala la mkataba wa Messi lilizua gumzo kutokana na janga la coronavirus, lililopelekea msimu kuwa mrefu.
Messi alibainisha kuwa angekuwa anaweza kulipeleka suala hilo kwenye vyombo vya sheria, lakini aliamua kubaki Catalonia badala ya kuwachukulia hatua za kisheria kutokana na mapenzi yake na klabu.
Sergi Roberto anadhani Messi ni sehemu muhimu mno ya klabu. Alipoulizwa juu ya sekeseke la Messi 2020-21, Roberto alisem;
“Siwezi kufikiria Barcaleo bila na nilifkunja vidole vyangu ili abaki. Ninamuona akifanya mazoezi vizuri sana. Ni mchezaji aliye na utaalam na sina shaka kuwa atachangia asilimia 100 kila siku kwenye uzi huu wa klabu. ”
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Caroline
Barcelona bila Messi dah sijui ingekuwajee
Fatuma kasomo
Nomaa
Fatina
Messi na Barcelona dam dam!!
Adelta
Hawezi kuondoka
Dorophina
Messi angeondoka Barca naona kikosi kingekufa taratibu
Sauda
Messi ndo mpango mzima ndani ya Barcelona.
Salma ngende
Alifanya jambo sahihi
Tahiya
Good news
Mwanahamisi
Hawezi kuondoka
Angelina
Hakuna Barcelona bila messi
Zeiyana
Messi asingeweza kuondoka Barcelona bila ya utalatibu wowote ukiangali ile ndio clabu iliyo mlea hadi hakawa messi so lazima utaratibu haufuate
Mwajumah
Messi hawezi kuondoka barca
Venerose
Asante kwa taarifa
Hopemwaikuka
Messi ndo kitambulsho cha barca
magdalena
messi kuondoka barca sizani kama anaweza maana barca ndo kama nyumbani kwao atazeekea apo
Saupha mohamed
Messi mnyamaa daah sijui itakuaje Barcelona
aisha
Messi ndie mwenye timu yake ya barcelona
Nasra
Messi kuondoka itakuwa ngumu
Gabriel
Maombi ya Sergi Roberto atimae yametimia Messi amebak Barcelona
Hidaya
Barcelona bila messi hamna kitu
Amiri Kayera
Maombi yake yamekamilika
Shan
Habar njema
Rose kapinga
Mmmh!! Uko vizuri kwenye maombi hatimaye umefanikiwa!!
Khadija
Jamani messi aende wapi
Issa
Inaonyesha barca ni tegemez kwa mtu mmoja
felister
barca na Messi kama uji na mgonjwa
Rehema
Safi
Leonard
Vizuri
Elika
Haya sijui kafaidikana lipi sasa
Ernest
Messi hapendezwi na mwenendo wa Timu hasa katika mbio za ubingwa anaona kabisa timu imeshapotea ndio maana alitaka kusepa Barca
Janeflora malisa
Hbr njm
Tatu
Mm naona mess ndio kaibeba Barcelona
Sadick
Barcelona inatakiwa kufikiria maisha bila Messi kwa sababu hawezi kuwa hapo milele#meridianbettz
David Pere
Messi asingeweza kuondoka Barcelona bila ya utalatibu wowote ukiangali ile ndio clabu iliyo mlea hadi hakawa messi so lazima utaratibu haufuate
Chiku
Safi sana