Schalke 04 Yawinda Kocha Mpya, Baum Apigiwa Upatu.


Baada ya kumuachisha kazi David Wagner Schalke 04 wanamtafuta kocha mpya kwa kasi ili kuendeleza msimu wa Bundasiliga ulioanza wiki mbili zilizopita.

Anayepigiwa upatu ni kocha wa zamani wa Augsburg Manuel Baum, ambaye ni kocha wa vijana katika shirikisho la kandanda Ujerumani – DFB

 

Schalke 04 Yawinda Kocha Mpya, Baum Apigiwa Upatu.

Majina mengine ni Ralf Rangnick aliyewahi kuifundisha Schalke 04 mara mbili, kocha wa zamani wa Mainz Sandro Schwarz na Marc Wilmots koicha wa zamani wa timu ya taifa ya Ubelgiji na mchezaji wa zamani wa Schalke.

Schalke 04 ilimuachisha kazi David Wagner baada ya mwanzo mbaya kabisa wa msimu wa Bundesliga. Wamelishwa mabao 11 na kufunga bao moja pekee katika mechi zao mbili za ufunguzi.

 

Schalke 04 Yawinda Kocha Mpya, Baum Apigiwa Upatu.
 

Kichapo cha 3 – 1 Jumamosi dhidi ya Werder Bremen kilifuatia kishindo cha 8 – 0 mikononi mwa Bayern. Ina maana Wagner ameongoza timu hiyo katika mechi 18 za mwisho bila ushindi.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

39 Komentara

    Duh noma

    Jibu

    schakle 04 walimpata uyo kocha watakuwa wameula maana kocha yuko makini sana katika kufundisha soka

    Jibu

    Schalke wakimpata watakuwa wamelamba dume.

    Jibu

    Wamefanya alaka kumuondoa wangempa nafasi yengine hinaweza ndio ukawa mwisho wa makosa yake

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

    Wafanye mpango wampate huyo kocha kwa sababu Yuko vizuri na anajuwa anachokifanya

    Jibu

    Yupo vinzur sana

    Jibu

    Inabidi watafute kocha mwenye ujuzi mkubwa ili aipeleke timu mbali

    Jibu

    Atafutwe kocha mwingine tuu

    Jibu

    Kocha wanae mtaka yupo vizuri katika ufundishaji atawafaa sana kuimarisha kikosi

    Jibu

    Duuh majanga ayo kwake

    Jibu

    Wakimpata huyu watakuwa wameukata schalke 04.

    Jibu

    David Wagner ni mhanga wa kwanza kufukuzwa msimu huu baada ya mechi chache msimu huu#meridianbettz

    Jibu

    Nakala nzuri #meridianbettz

    Jibu

    Ni kocha mzur

    Jibu

    Itakua poa sana

    Jibu

    Kocha anatkiw airudishe schalke 04 kweny hadh yake

    Jibu

    Kocha mpya anakaz maan anaikuta team bila mda wakuiandaa

    Jibu

    Kweli majanga

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

    Kocha yupo vizuri

    Jibu

    Schalke 04 inatakiwa ipate mtu ambae atairudisha kwenye hadhi yake tena

    Jibu

    Itakua poa

    Jibu

    Kocha ataitaji kua Makin maan anakutan na team ambay ajapat nayo mda kuiandaa

    Jibu

    Wamtafutee kocha mwingine atakayekuwa makini

    Jibu

    Inatakiwa Schalke 04 inabidi wajitahidi kulipigania hili swala wapate kocha bora

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    mmmh

    Jibu

    Kocha wanae mtaka yupo vizur

    Jibu

    Kocha Yuko vizuri Sana

    Jibu

    Kocha yupo vizuri

    Jibu

    Bora wamelivyombadilisha kocha schalke04

    Jibu

    Schalke 04 imekuwa timu mbovu kupita maelezo kweli kulikuwa na haja ya kubadilisha kocha na kuinusuru timu

    Jibu

    Wapo sahihi

    Jibu

    schakle 04 walimpata uyo kocha watakuwa wameula maana kocha yuko makini sana katika kufundisha soka

    Jibu

    Baum anastail kuiongoza schalke O4 wampe nafasi na muda kukiongozah kikos hicho

    Jibu

    Mmmmh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.