Lampard Akerwa na Matokeo dhidi ya Tottenham.


Frank Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea amesema kuwa kupoteza kwake mbele ya Tottenham Hotspurs kumemvuruga kwa kuwa walianza kushinda ndani ya dakika 45 za mwanzo.

 

Lampard Akerwa na Matokeo dhidi ya Tottenham.

Mchezo huo wa Kombe la Carabao hatua ya 16 bora uliochezwa usiku wa kuamkia leo, Uwanja wa Tottenham Hotspur ulikuwa na ushindani mkubwa na dakika 90 zilikamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1 jambo lililopelekea mshindi kupatikana kwa penalti.

Timo Werner dakika ya 19 alianza kufunga kwa Chelsea na lilisawazishwa dakika ya 83 na Erik Lamela ambapo kwenye penalti, Spurs inayonolewa na Jose Mourinho ilishinda penalti 5-4.Mason Mount alikosa penalti kwa upande wa Chelsea.

 

Lampard Akerwa na Matokeo dhidi ya Tottenham.

Lampard amesema kuwa wachezaji wake walionekana wamechoka kwenye mchezo huo jambo lililowafanya washindwe kuibuka na ushindi jumla jumla.

“Tulikiwa tunahitaji kubaki kwenye ushindani ila inaonekana wachezaji wangu walikuwa wamechoka, kwa hali ile ilikuwa ngumu kupata matokeo chanya na ilikuwa ni ngumu kwetu kupoteza kwa kuwa tulianza kushinda,” amesema Lampard.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

39 Komentara

    Lampard asikerekwe huo ndiyo mpira na hayo ndiyo matokeo Ila aongeze juhudi

    Jibu

    lampard kikosi kizuri hana ana kazi ya ziada sana kukijenga vyema kikosi chake

    Jibu

    Kaza buti kijana, mpira una matokeo matatu..

    Jibu

    Matokeo tu hayo asichoshwe nayo

    Jibu

    Chelsea bado kabic kuna uwezekano mkubwa wa kupanga kikosi so wachezaji walio sajiliwa na wenye uwezo ni wengi lakini mpangilio wa kazi akuna kabic sio kwa matokea tuliyotegemea na usajiri walio ufanya

    Jibu

    Mpira una matokeo matatu kikubwa kujipange vizur ili wapate matokeo

    Jibu

    Usikate tamaa jipange upya

    Jibu

    Msilalamike.inabidi mjifunze kutokana na makosa

    Jibu

    Hapo hakuna zaidi ya kujipanga upya tuu

    Jibu

    Lampard anakikosi kizuri lakini wanamuangusha wachezaji wakifika uwanjani wanaenda tofauti

    Jibu

    Lampard usichoshwe na ayo matokeo kaza buti kusonga mbele ili uyabadilishe matokeo ayo

    Jibu

    Lampard hatakiwi kukataa tamaa aendelee kujikaza na kuimarisha kikosi vema.

    Jibu

    Chelsea ushindi ulikuwa ni wake ndani ya dakika 90 sijajua wapi walikwama

    Jibu

    Ni mwanzo mbaya kwa Chelsea msimu huu, inahitaji kujipanga kusonga mbele kikakamavu#meridianbettz

    Jibu

    Ndo mpira jamani

    Jibu

    Dah sio poa yaan

    Jibu

    Lampard atakiwa ajipange zaid aiwek Chelsea kwenye hadh yake

    Jibu

    Mpira ni dakika 90 apaswi kukelekwa ila ajipange tena matokeo ndo hayo#meridianbett

    Jibu

    Ilikua mechi ngum sana

    Jibu

    Kuanza upya sio ujinga Chelsea watasonga mbele tu

    Jibu

    Duh!!!

    Jibu

    Wajipange upya

    Jibu

    Ndo Mpira huo

    Jibu

    Ni mechi ambayo chelsea ilipoteana vibaya

    Jibu

    Ndo mpira

    Jibu

    Yote matokeo ya mpila unawez chez vzur na usipate matokeo

    Jibu

    Sio kila siku kushinda tu jmn

    Jibu

    Mpira ndio ulivyo kuna kushinda na kushindwa au kusuruhu

    Jibu

    Good

    Jibu

    dah sio poa ila ndo mpira inabidi akubaliane na matokeo

    Jibu

    Chelsea msimu huu inahitaji kujipanga

    Jibu

    Lampard ni kocha mzuri Sana

    Jibu

    Ndoishatokea akubaliane na halialisi

    Jibu

    Lampard anatakiwa kukipanga upya kikosi chake

    Jibu

    Wachezaji wa Chelsea wameanza kuletea Gundu Lampard

    Jibu

    Wapambane nao

    Jibu

    Ni mwanzo mbaya kwa Chelsea msimu huu, inahitaji kujipanga kusonga mbele kikakamavu

    Jibu

    Chelsea walicheza chn ya kiwango Sana nakupelekeah kupotezah mchezo hule

    Jibu

    Gud

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.