Mashindano ya Roland Garos – French Open 2020 yanaendelea kutimua vumbi nchini Ufaransa. Mchezaji namba 1 kwa ubora duniani – Novak Djokovic na Stefanos Tsitsipas wanaendelea kung’ara katika mashindano haya.
Djokovic alikuwa uwanjani kupambana na Mikael Ymer. Mchezo ambao Novak Djokovic alionesha ubora wake na kumaliza kwa ushindi wa seti 6-0 6-2 6-3 .
Djokovic yupo kibaruani akitafuta taji la 18 la Grand Slam na taji la 2 la French Open. Dakika 20 za mwanzo zilikua ngumu kidogo kwa Djokovic, lakini alipambana kwa kipindi chote cha saa 1 na dakika 38 za mchezo huu.
“Malengo yangu yataendelea kuwa hivi, kujitahidi kuvishinda vizuizi vyote kwa umahiri na uhodari mkubwa.
“kiukweli hii sio hali ya hewa tuliyoizoea katika French Open. Kila mtu amekuwa akiliongelea hili. Baridi, matope nakadhalika. Vinaharibu mchezo lakini kwa uchezaji wangu sioni tabu.” amesema Novak Djokovic.
Stefanos Tsitsipas alikuwa akichuana na Jaume Munar. Katika mchezo ambao Tsitsipas alipindua matokeo baada ya kupoteza seti 2 za mwanzo, aliibuka kidedea kwa ushindi wa 4-6 2-6 6-1 6-4 6-4.
Mchezo huu ulikuwa ni wa vuta nikuvute na Tsitsipas alisubiri mpaka raundi ya 7 ili kujihakikishia anafuzu mzunguko wa pili wa mashindano haya.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Adelta
Djokovic yupo vizuri na anastahili pongezi kwa kiwango alicho nacho
Sauda
Pongezi kwao
magdalena
Djokovic sizani kama ana mpinzani kwa upande wa kiume maana ana juhudi za kufa mtu
Nasra
Pongezi kwao
Zeiyana
Wakati wao huu sasa wa kutamba ukiachilia mbali Serena
Fatina mfingi
Djokovic yuko vizur!!
Venerose
Wako vinzur sana
Mwanahamisi
Pongezi kwao
Caroline
Hongera sanaaa
Elika
Novat hana mpinzan
Dorophina
Pongezi kwao
Mwajumah
Pongezi kwao
Latifa juma mohamed
Djokovic yuko vizur!!
Antony Luseno
Fainali sijui atatinga nani?!
Sadick
Djokovic anajiuliza baada ya kutimuliwa US OPEN. Tennis ni moja ya michezo ya kuvutia sana Duniani#meridianbettz
Hopemwaikuka
Kwa raha zao
Asia Abdy
Nice
Shani
Djokvic yupo poa sana kweny tennis
Johnmary joel
Yuko vizuri anastahili pongezi#meridianbett
aisha
Wamekutana mabingw wa tenis
Hidaya
Pongezi kwao
Angelina
Safi
Saupha mohamed
Pongezi kwao
Issa
Djokovic amekuw imara sana
Fatuma kasomo
Safi
Amiri Kayera
Wapo kweny kiwango kizur naamin wanawez beba vikombe
Sabrina
Djokovic yuko vizuri
Rehema
Pongezi kwao
felister
fainali sijui atatinga nani…?
Gabriel
Djokovic yuko vizur
Lydia Emmanuel Magoti
Nawakubali wapo vizuri sana
Tatu
Pongezi kwao
Neema
Pongezi kwao
Ernest
French Open kumeonyesha dalili nzuri kwa Djokovic
Salma ngende
Hongera kwao
David Pere
Mchezo huu ulikuwa ni wa vuta nikuvute na Tsitsipas alisubiri mpaka raundi ya 7 ili kujihakikishia anafuzu mzunguko wa pili wa mashindano haya.
Povel
Pongez kwake
Samiah
Pongezi kwake