Messi: Wote Tunatakiwa Kuungana

Baada ya sekeseke la kutaka kuondoka Barcelona, nahodha wa timu hiyo – Lionel Messi, amekubaliana na hali na sasa anawasihi watu wote kuungana na kuleta mafanikio kwenye timu hiyo.

Mapema mwezi Agosti, Messi aliitikisa dunia kwa kutaka kuondoka Barca, timu aliyoitumikia kwa maisha yake yote ya soka. Sakata hili lilikuwa la aina yake na mvutano kati ya klabu na mchezaji ulikuwa mkubwa. Mwisho wa siku suluhisho lilikuwa ni mchezaji huyo kusalia klabuni hapo.

Akizungumza na SPORT, Messi amenukuliwa akisema. “Baada ya kutokuwa na makubaliano mengi. Nimeamua kumaliza suala hili . Sote tunapaswa kuungana na kuamini kwamba bado hatujapata mafanikio mazuri.

“Nitakuwa na jukumu kwa makosa yangu, kama yapo, ilikuwa ni kwa lengo la kuifanya Barcelona kuwa nzuri na mahiri zaidi.

“Kama kwa namna yeyote mashabiki waliumia kwa chochote nilichokisema au kukifanya, kusiwe na mashaka. Yote niliyofanya au kusema, yalikuwa ni kwa nia njema kwa klabu.”

Lionel alihusishwa sana kujiunga na Manchester City ambapo angeungana na kocha wake wa zamani – Pep Guardiola.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

40 Komentara

    Umoja ni nguvu

    Jibu

    messi bado ana mapenzi ya dhati kabisa na timu yake

    Jibu

    Safi Sana Messi kwa kufunguka

    Jibu

    Hakika mesi umenena.na umoja siku zote ni nguvu

    Jibu

    Messi bado anapenda umoja

    Jibu

    Hongera sana Messi kwa kuutaka umoja ili kuleta mafanikio

    Jibu

    Umoja ni nguvu na Messi kaliona hilo

    Jibu

    Messi yupo sahihi wao ndio wa kuipandisha daraja klabu yao cha msingi ni umoja ndio unaotakiwa

    Jibu

    Hulikua wakati mgumu sana kipindi kile Barcelona safi sana messi

    Jibu

    Hongera Sana Messi ,ana mapenzi ya dhati na barc.

    Jibu

    Ni kauli nzuri sana kusikia kutoka kwa Messi inaleta mshikamano kwenye timu#meridianbettz

    Jibu

    Baada ya kauli hiyo ni muda wa timu kuitendea kazi

    Jibu

    Mess inaonyesha kama anaiendesha barca anavytaka na yeye ndio chanzo pia cha barca kuyumba

    Jibu

    Gud idea

    Jibu

    Messi sasa umeongea jambo zuri ss ni wakat wakujipanga vizuri ili klabu isonge mbele#meridianbett

    Jibu

    Kauli ya busara

    Jibu

    Messi yupo sahihi kabisa

    Jibu

    Mess kaamua kubaki kwa moyo nakuisadia team

    Jibu

    Messi jembe

    Jibu

    Messi yupo sahihi

    Jibu

    Safi Messi

    Jibu

    Messi namkubali

    Jibu

    Messi yupo sahihi

    Jibu

    Barca kama wanamuabudu mess na mess amekuwa sababu ya barca kupotea

    Jibu

    Safi mess

    Jibu

    Mess amekubali sasa kufany kaz Kwa Moyo wote

    Jibu

    Anachosema Messi ni sahihi

    Jibu

    Ni vizuri kutoa hamasa kwa wenzie wafanye vizuri

    Jibu

    Messi iko poa

    Jibu

    sasa ni muda wa timu kufanya kazi

    Jibu

    Messi ni mzalendo sana na Barcelona

    Jibu

    Kwel kabisa

    Jibu

    Vizuri Sana Messi humoja ni nguvu

    Jibu

    Mess ndio kila kitu pale barcelona

    Jibu

    Messi asepe tuu Barca hakuna jipya

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Messi yupo sahihi wao ndio wa kuipandisha daraja klabu yao cha msingi ni umoja ndio unaotakiwa

    Jibu

    La pluga mfalme pale nou camp

    Jibu

    Umoja ni nguvu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.