Joan Laporta raisi wa zamani wa klabu ya Barcelona ya Uhispania ameendeleza kampeni zake za kugombea karata ya uraisi mwezi marchi 2021.
Raisi huyo wa zamani ameammua kugombea tena nafasi hiyo baada ya raisi wa sasa kujiuzuru mapema mwezi huu baada ya shutuma kadhaa ikiwemo sakata la matumizi mabaya ya fedha na uhamisho wa kipenzi cha wakatalunya Lionel Messi.

Laporta amejinadi kama akifanikiwa kuwa Rais ana mpango wa kumsajili mshambuliaji hatari wa Borussia Dortmund ya Ujerumani na timu ya taifa ya Norway, Erling Braut Haaland.
Atatumia wadhifa, urafiki wake na Mino Raiola ili amsaidie kumshawishi mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Norway kuhamia Barcelona.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Tatu
Labda laporta akipata nafasi ya uraisi anaweza kuleta Barcelona
Janeflora malisa
🔥
Fatina mfingi
Wampe nafas tena
Sabrina
Itakua poa sana
Shakila mrope
Wampe tu
Sauda
Itakuwa bora sana
Shafii
Ni jambo ziri kwani halaand kwa sasa yupo kwenye kiwango bora Sana.
aisha
Apewe tuu nafasi maana huwezi jua nini atafanya
Adelta
Haland Yuko katika kiwango kizuri
Hopemwaikuka
Yaan utanifurahisha sana
Mwanahamisi
itakuwa bora sana
Lydia Emmanuel Magoti
Hitakuwa poa sana
Nasra
Apewe nafasi nyingine tu
Sadick
Imekuwa ni karata ya kawaida kutumika kwa wanaotaka urais iwe Barcelona ama Real Madrid. Mwaka 2000 Luis Figo alisajiriwa na Real Madrid kwa usajiri uliovunja record ya wakati huo kutokana na mgombea wa Urais Madrid kuahidi kwamba endapo angechaguliwa basi angemnunua Luis Figo na hicho kilitokea.
Issa
Haaland jesh
Dorophina
Wakimpa nafasi atafanya vizuri tena
Magdalena
Habari njema sana hii wampatie tu nafasi
Mariam mtandama
Habari njema
Fatuma kasomo
Jambo zuri
Rahma
Habari njema
warda
Naona Mpaka Mbappe atatua