Ibrahimovic -Usiangalie Jina, Nimepitia Msoto.


Staa wa AC Milan, mkongwe Zlatan Ibrahimovic ameamua kufunguk aya moyoni na kuwaambia watu waache kudata na jina kwa kuwa ni staa.

Zlatan Ibrahimovic: “Sehemu nilipozaliwa “ROSENGARD” ilitawaliwa na uharifu wa kila namna.

 

Baba yangu alikuwa ni mlevi na alitarikiana na mama yangu nikiwa na umri wa miaka miwili (2). Kuna nyakati kadhaa ambapo sikuwa na kitu chochote cha kula wala sehemu ya kulala.

Nilikuwa na uchu wa soka japokuwa kwa kipindi kile sikuweza kununua viatu vya soka. Nilicheza peku peku kule mitaani.

Leo wanaliona jina langu kwenye mabango. Lakini hawawezi kujua ni kwa namna gani nilijitoa.” alisema Zlatan.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

20 Komentara

    Kweli watu wengi wenye majina makubwa wametoka mbali wamepitia msoto ila ukiangalia ukubwani utafikili wamepata raha tangia utoto

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Watu wanatoka mbali

    Jibu

    Good

    Jibu

    Amepitia mengi sana

    Jibu

    Maisha ndo yako ivo anaepambana ni rahisi kufanikiwa.

    Jibu

    Duuh pole sana ibra halafu tena hongera maana uliukataa umasikini ndio maana ulipambana vya kutosha

    Jibu

    Hakuna ktu rahis bila msoto

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hakuna kitu rahisi

    Jibu

    Kila jambo na ugumu wake

    Jibu

    Kujitambua na kupigania ndoto zako ndio kitu muhimu ktk maisha. Maisha ya namna hii amepitia CR7 ndio maana anapigania mpaka leo

    Jibu

    Mamba mtu mbaya kadabla

    Jibu

    mmh

    Jibu

    Ibrahimovic ametoka mbali sana

    Jibu

    Msoto alioupitia ndo umempa umaharufu

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Nikweli kabisa

    Jibu

    Mafanikio yanahitaji msoto hakunaga kitu rahisi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.