Madrid Yatenga Pauni 200 Mil. Kwaajili ya Mbappe.


 

Klabu ya Real Madrid iko tayari ‘kumpandilia dau Mbappe’ na ‘wako tayari kulipa pauni milioni 200’.

Mpango wa muda mrefu wa Real Madrid wa kumnasa Kylian Mbappe kutoka Paris Saint-Germain unaweza kuwa mzuri wakati wa kiangazi Kulingana na chapisho la Uhispania AS, Mpango wa Real wa ‘Operesheni Mbappe’ unakaribia kutimia.

 

Mkataba wa mshambuliaji huyo wa Ufaransa huko PSG unamalizika mnamo Juni 2022 hivyo umebaki mwaka mmoja. Mbappe atakuwa njia panda kuhusu mustakabali wake.

Miamba hiyo ya Uhispania inaamini ada ya kumsajili Mbappe inaweza kutoka popote kutoka euro milioni 150 (£ 135m) hadi 222m (£ 200m), na PSG ikiwezekana kutaka kuiga walicholipa kumsajili Neymar kutoka Barcelona mnamo 2017.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

12 Komentara

    Safi san mbape

    Jibu

    Mbape jembe

    Jibu

    Ingawa ni kweli Real inamuhitaji Mbappe lkn si kwa kiwango hicho kinachotajwa

    Jibu

    Mbappe nyota njema imekuwakia

    Jibu

    Vizuli sana mbappe

    Jibu

    Mbappe jembe Safi sana madrid

    Jibu

    Safi Sana Madrid

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Bonge ladili kuwa mbappe

    Jibu

    Watampata tu

    Jibu

    Wajitahidi watampata

    Jibu

    Duu kweli wameamua

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.