Neymar Arejea Mazoezini PSG.


 

Nyota wa Paris Saint-Germain, Neymar amerejea mazoezini Jumatatu hii ikiwa ni kuongeza nguvu kwa maandalizi ya Ligue 1 kwa pambano la Trophée des Champions na Marseille.

Neymar anasemekana Kuwa katika hati hati ya kucheza dhidi ya Marseille.

 

Mbrazil huyo bado hajaonekana chini ya Mauricio Pochettino, baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu mnamo Mwezi Desemba.

Kulingana na Le Parisien, mshambuliaji huyo wa zamani wa Barcelona ni “50-50” kukabiliana na Marseille katika mchezo wa Jumatano [Leo] huko Lens.

Neymar amecheza mechi 7 tu za Ligue 1 msimu huu, akifunga mara tatu na kutoa asisti tatu.

Uchezaji wake mzuri zaidi umekuwa kwenye Ligi ya Mabingwa, ambapo mabao sita katika michezo mitano yalisaidia PSG kushinda Kundi H ngumu mbele ya RB Leipzig na Manchester United.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

13 Komentara

    Pole Sana neymar.karibu uwanjani

    Jibu

    Hbr njema kwa mashabiki wa psg

    Jibu

    Neymari kalibu sana

    Jibu

    Waoo hii ni habarii njemaa

    Jibu

    Pole san neymar

    Jibu

    Karibu sana Neymar

    Jibu

    Bila shaka kurejea kwake kunaongeza ari kwa timu na meneja kuwa na machaguo mengi ya wachezaji

    Jibu

    Bora neymar kurudi

    Jibu

    Karibu neynar

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Mungu ni mwema

    Jibu

    Karibu neynar

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.