Usajili wa dirisha dogo umeingia kwenye wiki 2 za mwisho na macho ya wengi yapo pale Emirate. Inasadikika kuwa Mesut Ozil yupo mbioni kutimkia Fenerbahce.
Imeripotiwa kuwa Ozil anakamilisha taratibu za kuvunja mkataba wake na Arsenal na atajiunga na Fenerbahce kama mchezaji huru.
Hii ni baada ya maongezi kati ya Mkurugenzi wa Michezo wa Arsenal (Edu), Mtendaji Mkuu wa Fenerbahce (Emre) na wakala wa Mesut Ozil kuzaa matunda. Arsenal waliweka wazi adhma yao ya kutaka kuachana na Ozil mwezi huu kabla ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu.
Kama usajili huu utakamilika ndani ya siku chache zijazo, pengine ikawa ni suluhisho sahihi wa Ozil na klabu ya Arsenal ambapo kumekuwa na maneno mengi yanazozua hali ya sintofahamu kuhusu mchezaji huyo na uongozi wa klabu hiyo.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!



Magdalena
Kila la kheri ozil
Sarah
Ozil Kila la kheri
Caroline
Ozil karibu chama la wajanja
Mwanahamisi
Ozil noma
Shakila mrope
Habari njema meridian bert
Sania
Ozil piga kazi
Rahmal
Ozili kila lakheri
Angelina
Itakuwa poa sana
lombo
well
Dorophina
Kila lakheri ozil
Sadick
Hatimaye ameamua kutema mshahara wa Euro 350,000/= kwa wiki.
Ernest Kimeru
Bora asepe
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii
Issa
Ozil hana bahat
felister
kila la kheri ozil
Sylvester
Ozil nyota iliyofifia Arsenal ingawa alikua ni moja kati ya nguzo Arsenal naona ni bora tu akafungua milango kwenda klabu nyingine.All the best
Hopemwaikuka
Panafaa pia
warda
Aende tu