Tuchel : Kumbukumbu Mbaya Kupoteza Dhidi ya United.


 

Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel amekubali kwamba kufungwa na Manchester United akiwa na PSG katika hatua ya 16 bora ni kipigo kibaya katika kazi yake.

March 2019 United walitoka nyuma 2-0 kutoka mchezo wa kwanza na kupata ushindi katika dakika za mwisho na kufuzu katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa katika dimba la Parc des Princes.

 

Nakiri baada ya kupoteza nilikuwa kizani kwa siku mbili, sikuweza kuongea na mtu yeyote na sikufikiria kitu chochote zaidi ya kipigo kile,” Tuchel alisema

Inawezekana ikawa ndio kipigo kibaya zaidi kwangu kwasababu kilikuja bila kutarajia. Katika kipindi kama hicho. Nilikua kizani kwa siku mbili ambazo kocha anapaswa kuwa.

Hakuna njia unaweza kulinganisha mechi hizi mbili. Nimesema jinsi nilivyojisikia baada ya kupoteza Ligi ya Mabingwa. Wote tunajua kipigo ni vigumu kukizoea.

Ningependa kubadili sasa. Tunapenda mashindano na tunapenda kushinda na tunapenda kupigania, nadhani hicho ndicho tutakacho kipata Jumapili.” aliongeza Tuchel


TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET

BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Tunataka kuona mabadiliko

    Jibu

    Asante kwa taalifa meridian bet

    Jibu

    Ngoja tusubiri matokeo

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Twangoja

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Mh hatar

    Jibu

    sasa Tuchel anauwezo gani wa kuifunga United

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.