Da Rosa Kocha Mkuu Timu ya Taifa Mauritania.

 

Shirikisho la Soka nchini Mauritania FFRIM siku ya jana [jumatano] limemtangaza kocha wa zamani wa klabu ya Simba SC, Didier Gomes Da Rosa kuwa kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya nchi hiyo.

 

Gomes : Ubora wa Mkude Upo Mikononi Mwake.

Da Rosa aliachia ngazi ndani ya klabu ya mwezi mmoja uliopita baada ya makubaliano ya pande zote mbili baada ya Simba SC kukubali kipigo cha magoli 3-1 na kuondolewa katika michuano ya klabu Bingwa Africa.

Kocha huyo mfaransa anaendelea na safari yake ya ukocha huku kwa mara ya kwanza akifundisha timu ya taifa, huku kibarua chake cha kwanza kikiwa kombe la FIFA Arab Cup linaloanza mwezi ujao.

Da Rosa pia ameungana na kocha wazamani wa viungo wa Simba SC, Adel Zrane ambaye ametangazwa kama kocha wa viungo kama pendekezo la kocha mkuu huyo.


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

 

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.