PSG Alama 1 Yasalia Kutwaa Ubingwa Ufaransa.

 

Paris St-Germain (PSG) walilazimishwa kusubiri taji lao la nane la Ufaransa katika kipindi cha miaka 10 baada ya wapinzani wao wa karibu Marseille kushinda 3-2 dhidi ya Nantes.

Pointi moja kwa PSG katika mchezo wao wa nyumbani dhidi ya Lens walio nafasi ya saba Jumamosi itawafanya warejeshe taji hilo bila kujali Marseille watafanya nini dhidi ya Reims.

 

Kikosi cha PSG chini ya Mauricio Pochettino kiko pointi 15 mbele ya Marseille huku pande zote zikiwa zimesalia na mechi tano kuchezwa.

Mshambuliji wa Brazil Neymar atarejea kwenye mchezo wa Lens baada ya kutumikia marufuku ya mechi moja kwa kujikusanyia kadi tano za njano.

Mshambuliaji wa Argentina Messi, ambaye ana uvimbe wa Achilles, atapimwa tena, pamoja na kiungo wa kati wa Italia Marco Verratti (goti) na beki wa kati wa Ufaransa Presnel Kimpembe (goti) baada ya wawili hao kukosa mchezo dhidi ya Angers.


VUNA MKWANJA NA AVIATOR

Maana halisi ya ushindi mkubwa unaipata katika kasino ya mtandaoni ya Aviator kutoka meridianbettz. Andaa kapu la ushindi wa mkwanja na beti kibao za BUREEE.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.