Katika harakati za kuhakikisha wanasalia na kiungo wao, Klabu ya West Ham wamempa ofa ya mkataba mpya wa miaka 8 kiungo wake na kapteni wa klabu Declan Rice.
Mkataba huo mpya utamfanya Rice, 23 kuvuta kiasi cha £200,000 kwa wiki mpaka mwaka 2030, ili kuepusha mchezaji huyo kuondoka baada ya kuhusishwa kuondoka.

Klabu za Manchester united na Chelsea zimekuwa zikihusishwa na mchezaji huyo wa West Ham aliyegoma kuongeza mkataba mpya miezi kadhaa iliyopita.
Rice ameichezea West Ham mechi 48 katika mashindano yote msimu huu akifunga magoli matano na kusaidia upatikanaji wa magoli mengine (assist) manne.
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.


