Conte Kufanyiwa Upasuaji wa Kibofu Leo

Meneja wa Tottenham Antonio Conte atafanyiwa upasuaji wa kwenye kibofu chake siku ya Jumatano, klabu hiyo ya Premier League imetangaza. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

 

conte

Muitaliano huyo, 53, aliugua kwa maumivu makali ya tumbo na kufuatia tathmini ya matibabu, iliamuliwa kufanyiwa upasuaji na atakabiliwa na mapumziko kwa muda nje ya uwanja. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!.

“Antonio Conte hivi majuzi aliugua kwa maumivu makali ya tumbo,” ilisema taarifa ya klabu hiyo.

“Baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa wa cholecystitis, atafanyiwa upasuaji leo (Jumatano) na atarejea kufuatia muda wa kupona.

“Kila mtu kwenye Klabu anamtakia heri.”

Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.