Klopp amesifu kiwango cha mchezaji wa Bayern Munich Thiago huku kiwa na tetesi za Liverpool kumsajili mchezaji huyo wakati wa dirisha la usajili. Jurgen Klopp ameonekana kuwa na dhamira ya …
Makala nyingine
Winga wa Juventus Douglas Costa anaweza kukaa nje ya uwanja mpka mchezo wa mwisho wa kumaliza kutokana na majeraha aliyoyapata. Costa alitolewa kipindi cha pili cha mchezo siku ya Alhamisi …
Mkurugenzi Mtendaji wa klabu ya Calcio Como, Michael Gandler amethibitisha kufanya mazungumzo ya kumsajili mtukutu, Mario Balotelli. Balotelli ataondoka Brescia mwishoni mwa msimu baada ya klabu hiyo kushuka Daraja kutoka …
Beki wa Liverpool, Dejan Lovren yupo mbioni kujiunga na club ya Zenit St. Petersburg kwa ada ya pauni 11 milioni. Lovren alijiunga na Liverpool akitokea Southampton mwezi July 2014 kwa …
Kocha wa zamani wa Arsenal, Unai Emery ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Klabu ya huko La Liga, Villarreal kwa mkataba wa miaka mitatu ijayo. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka …
Sahau kuhusu ‘mamilioni’ ya vivutio pale Brazil. Wasahau waholanzi walioiumba nchi yao kutoka baharini. Wasahau wagiriki walioanzisha shule na ‘philosophia’ duniani. Waulize wareno walifikiria nini kutunga wimbo wa taifa kabla …
Watford,Bournermouth, na Aston Villa Wanahitaji Kucheza Kufa Kupona katika michezo yao ya kumaliza ligi ya Premier League ili kujinusuru kushuka daraja. Villa itawahitaji wachezaji wake Jack Grealish na Trezeguet kucheza …
Mchezaji mpya wa Bayern Munich Leroy Sane amesema kuwa dili ya Kai Havertz kuhamia Chelsea ni kama imekamilika. Havertz mwenye umri wa miaka 21 anatarajia kuondoka katika timu ya Bayer …
Rais wa shirikisho la soka nchini Ufaransa (French Football Federation) Noel Le Graet amemsifia nyota wa Real Madrid Benzema amekuwa na msimu wa kipekee katika maisha yake ya soka. Benzema …
Legendari wa Arsenal Denis Berkgamp ameonesha nia ya kurejea katika club ya Arsenal kama mmoja kati ya wakufunzi wa benchi la ufundi. Berkgamp amesema atarudi Arsenal muda sahihi utakapowadia. Bergkamp …
Juventus wamepoteza nafasi ya kutangaza ubingwa wao wa tisa mfululizo siku ya Alhamisi baada ya kupoteza kwa 2-1 dhidi ya Udinese. Maurizio Sarri amebakiwa na alama sita kutangaza ubingwa wa …
Assist ya Trent Alexander-Arnold kwa goli la Roberto Firmino jana vs. Chelsea – Ilikuwa ni ya 13 kwenye Ligi msimu huu, amevunja rekodi yake mwenyewe ya Assists nyingi kwa beki …
Kocha mkuu wa klabu ya Roma, Paulo Fonseca amesema timu hiyo ya Serie A haina mpango wa kumuuza nyota wake Nicolo Zaniolo hali ya kuwa taarifa za uhamisho wa nyota …
Timu ya nchini Italia Brescia iliyokuwa ikishiriki ligi kuu ya nchini humo maarufu kama Serie A, imeshuka daraja baada ya kufungwa 3-1 dhidi ya Leece siku ya Jumatano ambao pia wapo kwenye mstari wa kushuka …
Mchezaji wa kimataifa kutoka Ufaransa Kylian Mbappe amembadili nyota wa Real Madrid Eden Harzad ambaye alikuwa katika kava ya mfululizo wa toleo la gemu ya EA Sports. Mbappe ameeleza kwamba …
Tammy Abraham kuhusu mechi yake ya kwanza kucheza kwa Chelsea ya wakubwa mwaka 2016; “Siku kama tatu au mbili kabla ya mechi (vs Liverpool) nilipigiwa simu na kocha wetu wa …
Chelsea Women imekamilisha uhamisho wa kiungo raia wa Canada, Jessie Fleming ambaye ametua Chelsea akitokea klabu ya UCLA Bruins. Fleming mwenye miaka 22 ametua Chelsea na kusaini mkataba wa miaka …
Gazeti la Uturuki, Takvim linaripoti kuwa Klabu ya Fenerbahce wanavutiwa na kumsajili mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kutoka Aston Villa katika dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya …
Kocha wa Chelsea, Frank Lampard amesema timu yake ipo mbali sana na ubingwa wa Uingereza hivo lazima wafanye kazi kubwa sana kurejea kule walipokuwa mwanzo. Lampard amesema hayo mapema leo …
Juventus wapo katika mipango ya kutaka kumchukua aliyekuwa kocha wa Tottenham Mauricio Pochettino ili kuchukua nafasi ya Maurizio Sarri ndani ya klabu hiyo inayotumikiwa na mchezaji nyota Ronaldo . Taarifa …