Frank Lampard amepuuza kuendelea na mchakato wa kunasa saini za wachezaji wakati wa dirisha la usajili ikiwa klabu hiyo ya Chelsea ilikuwa karibu kumsajili Kai Havertz. The Blues wakiwa wamekamilisha …
Makala nyingine
Aston Villa kuendelea na vita ya kufa na kupona kupigania kubaki Ligi Kuu wakati wanapowakaribisha Gunners huko Villa Park saa 04:15 usiku Villa wako nyuma alama tatu kutoka kwenye eneo …
Cristiano Ronaldo ameongeza historia nyingine na kuendelea kuipamba stori ya maisha yake ya soka kwa kuwa mchezaji mwenye kasi zaidi kwa kufikisha goli 50 ndani ya ligi ya Serie A …
Eric Dier amesaini kandarasi mpya kuendelea kubaki katika klabu ya Tottenham mpaka mwaka 2024. Mchezaji huyo wa England alikuwa amebakisha si zaidi ya mwaka mmoja katika mkataba wake uliyopita na …
Watford wamemtimua Kocha wao, Nigel Pearson kukiwa na michezo miwili ya msimu wa Premier League iliyobaki, Klabu hiyo na pointi tatu juu ya eneo la kushuka Daraja. Kocha Mkuu wa …
Manchester City wako karibu kufikia makubaliano ya uhamisho wa Beki, Nathan Aké kutoka Bournemouth. Kocha wa City, Pep Guardiola anataka kujenga upya eneo la beki kufuatia kusuasua kwa eneo hilo, …
Santi Cazorla amekubali kujiunga na klabu ya Al Sadd baada ya kandarasi yake na Villarreal kufikia tamati. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 35 hivi karibuni ataelekea mjini Doha na …
Vecino mwenye umri wa miaka 28 amekosa michezo mitatu kufuatia kuwa na majeraha ya goti, na kwa sasa anatizamiwa kwenda kwaajili ya kupigwa kisu jijini Barcelona siku ya Jumanne. Inter …
Wakati Ligi Kuu ya Uingereza EPL ikielekea ukingoni, ikiwa takribani imesalia mechi moja na kwa baadhi ya timu zimesalia mbili na Bingwa akiwa tayari amejulikana lakini kukiwa kuna mvutano katika …
Hakuna tuzo za Ballon d’Or mwaka 2020 kutokana na “upungufu wa hali ya kiusawa,” France Football imetangaza hivyo. Chapisho la Ufaransa, ambalo inaunganisha tuzo za kifahari kwa mpira wa miguu …
Siku ile Bolton anawashusha daraja, dunia ilimsikia Ricky Allman akisema hatakaa aangalie epl tena mpaka siku mtakapopanda. Alikuwa mtoto wa miaka 11 tu ila aliongea kwa hisia kali akimwaga machozi. …
Lionel Messi ameweka rekodi mpya ya Kutoa Assists nyingi katika La Liga katika msimu mmoja, akimzidi mchezaji mwenzake wa zamani wa timu hapo Barcelona, Xavi katika mchakato huo. Messi alitoa …
Mlinzi wa Manchester United Eric Bailly ametolewa Hospitali kufuatia kupata majaeraha ya kichwa wakati wa mchezo wa nusu fainali ya FA Cup dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili na Man …
Unakumbuka Harry Kane alipoanza kufunga na kudhaniwa atakuwa mchezaji wa msimu mmoja tu? Haikuwa hivo, tangu alipoanza kutisha kwenye msimu wake wa kwanza, hajawahi kuporomoka uwezo tena. Wala haoneshi dalili …
Zinedine Zidane amesisitiza hakuwahi kuwa Maalumu “special”,amesema alikuwa na bahati tu kuinoa Madrid. Zidane amepelekea Madrid kufanikiwa kutwaa taji la LaLiga msimu likiwa ni taji la 11 akiwa kama kocha …
Joao Felix amejumuishwa kwenye kikosi cha Atletico Madrid kwenye mchezo wa leo wa kumaliza msimu wa Laliga dhidi ya Real Sociedad baada ya kukaa nje ya dimba kwa muda kufuatia …
Kocha mkuu wa Tottenham Jose Mourinho anaamini kwamba anawekwa katika hatua tofauti ya matarajio kwa enzi hizi, alilalamika: “Watu wana nitazama kwa macho ya tofauti.” Spurs walikuwa katika nafasi ya …
KOCHA Mkuu wa As Vita, Frolent Ibenge ambaye inaelezwa kuwa yupo kwenye hesabu za Simba inatajwa kuwa kocha huyo ataambatana na kiungo wa timu yake, Jeremy Mumbere ambaye amesema kuwa …
Leeds United tayari wamepanda Ligi Kuu ya Uingereza na historia inaonyesha mara ya mwisho ya wao kushiriki ni msimu 2003/04. Leed United wana taji la Ligi ya Uingereza wakati huo …
Muda mwingine nakaa chini nawaza, Hivi ni kweli Simba ina fundi huyu anayepigania namba pale Zambia ‘chipolopolo’ mbele ya Kelvin Kampamba, Augustine Mulenga, Donashano Malama, Nathan Sinkala na Enock Mwepu …