Zinedine Zidane amesisitiza hakuwahi kuwa Maalumu “special”,amesema alikuwa na bahati tu kuinoa Madrid.
Zidane amepelekea Madrid kufanikiwa kutwaa taji la LaLiga msimu likiwa ni taji la 11 akiwa kama kocha wa wababe hao wa Hispania .
Lakini Mfaransa huyo amekataa maoni yoyote ya kuwa anajihisi kama “Special One” jina mabalo Jose Mourinho alikuwa akilitumia katika kujitambulisha.

“Hapana, hapana sijihisi kama hivyo. Najiona nina bahati kuwa hapa na wachezaji hawa kila siku,” Zidane alisema kwenye mkutano wa habari.
“Na kuwa kwenye hii klabu, ndiyo maana nafurahia sana kila siku. Sababu siku moja kila kitu kita isha, kama ilivyo wahi kutokea,lakini kwa sasa nafaurahia sana.
Madrid waliweza kutwaa taji la Laliga mara ya mwisho ilikuwa msimu wa 2016-2017 kabla ya kufanikiwa tena msimu huu, na kipindi hicho Christiano Ronaldo aliweza kuwasaidia kwa kiasi kikubwa.
Kuelekea katika mwisho wa kumaliza ligi hiyo kwa michezo yote itakayo chezwa siku ya Jumapili Real Madrid watakuwa ugenini kukabiliana na Leganes waliopo kwenye mstari wa kushuka daraja wakiwa na alama 35 katika michezo 37 nyuma ya Celta Vigo wenye alama 36
Ratiba ya LaLiga kumaliza msimu wa 2019-2020 siku ya JumapiliĀ
Alaves vs BarcelonaĀ
Real Valladolid vs Real BetisĀ
Villarreal vs EibarĀ Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā Ā
Atletico Madrid vs Real Sociedad
Espanyol vs Celta VigoĀ
Granada vs Athletic Bilbao
Leganes vs Real Madrid
Levante vs Getafe
Osasuna vs Mallorca
Sevilla vs Valencia



Issa
Zidane ni kocha ambae kaipa mataji mengi madrid pia ameipa champion league mara 3 mfululizo na ni kocha ambae anaijua kazi yake
Furahav
Zidane uko vizuri sana.
devotha
ni kocha mzuri sana Zidane
JULIANA
Zidane jembe nikocha mwenye sifa zake
Povel tz
Gud news
Fatuma kasomo
Kocha mzuri sn
Saupha mohamed
Zidane kocha anejielewa
Amiri Kayera
Kocha mzur na atak kujisifia mafanikio yak
Hope mwaikuka
Unastahir kwakwel
Tahiya
Zidane ni kocha mzur
Salma
Ni kocha ambaye anajielewa
Theckla
Zidane anajua nn anatakiwa afanye pindi timu ikiwa inacheza kihalisia ni kocha mzuri
farida ahmadi
Amna zidane huko Vzr ni kocha ambaye hanayejituma
David Pere
Ameona kitu sababu Kuna makocha wamejiita hivyo mpaka Sasa kila timu wanayoenda kufundisha wamwfanya vibaya sanaa
mwakalosi
hana makuu safi zizou
Amani
Koacha fundi asiye na makuu# meridianbettz
tumaini
Maoni:kweli ni bahati tu
Asia Abdy
Namkubal zana zidane
aisha
Zidane yuko bomba sana namkubali
Mwanahamisi
Zidane ni kocha mzuri
Elika
Zidane ni kocha bora sana..special one lina mfaa sana
Zeiyana
Kwa kipindi hichi alicho kua madridi zidane lazima hataonekana ni special one tu kwa uwezo wake na juudi zake alizo pelekea Madrid kufanikiwa kutwaa taji la laliga ikiwa kama taji la 11 akiwa kocha was wababe hapo hispania
warda
Zidane Mie namkubali sana kurudi tu kombe#Meridianbettz
Magdalena
Zidane kwa madrid atabaki kuwa special tu ameifanyia makubwa
mwajumah
Zidane ni kocha mzuri#Meridianbettz
Khadija
Zinade anajua sana mpira namkubali sana#meridianbettz
Ester jackson
Zidane ni kocha mzuri ambaye anajituma sana kwa wachezaji kuwabadilishia mbinu mbali mbali mpaka kupata ubigwa lakini zinade pia anamapungufu yake kama akiamua usicheze uwanjani kwa sababu zake kweli huhateza kwa sababu tu umemuuzi akijisahau kama pia unaumuhimu lakini pia ni mzuri mana amewatetea vijana wake ukiangalia kwa kipa alivyosema lakini alijua kuwa alikosea na akaweza kufafanua kuwa ni kipa mzuri na anajituma hivyo ni kocha mzuri sana asiye tabirika.meridianbettz
Fatina mfingi
Ni kocha mnzur sanaa
Revina
Zidane yupo sawa kabisa na anachokisema ikiwa anahitaji kujifunza zaidi ni kocha ambae anajua kile anachotakiwa kukifanya ,kwahiyo kisema yeye sio Special one anamanisha anachosema
felister
Your so special Zidane
Lydia Emmanuel Magoti
Zidane yupo sahii kocha uyo anacho kisema nikocha anaejua nn anakifanya kwenye kaz yake
Tatu
Zidane ni kocha nzuri
Samiah
Nikocha mzuri sanaaa
Ernest
Zidane ni Kocha mzuri na mwenye mbinu nzuri, Nimemkubali baada ya kusimama imara na kujaribu kukirudisha kikosi chake kwenye hadhi ya ushindani hasa kwenye Laliga baada ya kusuasua kwa muda mrefu bado natazama kuona kama atafanya maajabu kwenye UEFA.
Isaya massawe
Inapendeza sana mtu anafanya vizuri lakini hajisifii
Gabriel
Ni mtazamo wake ila me namkubal sana zidane
Fatuma kasomo
Ni kocha mzuri sana
Sadick
Kwa wachezaji waliopo kwasasa Real Madrid na kupata mafanikio haya ni bahati sana#meridianbettz
sabrina
Zidane ni kocha mzuri sana
Dorophina
Zidane amejua kuitendea haki Madrid amewafikisha sehemu nzuri sana
Shafii
Zidane Ana karama ya ukocha maana kuna makocha wakongwe hadi sasa hakuna mwenye mafanikio Kama ya zidane.
Emmy cleopa
Kocha ni mnzurii
Frank Patrick
Binafsi sioni kitu bora kwa zidane naona bahati na individual skills za mchezaji mmoja mmoja zikiiokoa team tofauti na klopp na Pep
Genia Sikaluzwe
Zidane ni Koch muzuri mwenye viwango vyukufundisha anapokuwa anafundisha
Theonestina
Zidane ni kocha mzur Sana
Omary lukumbi
Kweli kabisa zidane
caroline
ni kweli sio vizuri kujikweza .subiri watu wakusifie.ww ni special one sema tu hutaki kujisifia
Zuhura omary kindamba
Asante kwa makala
Christa
Safi, asijivune bali ajishushe kwaajili ya mafanikio yake
Njiku
Kweli kabisa