Unakumbuka Harry Kane alipoanza kufunga na kudhaniwa atakuwa mchezaji wa msimu mmoja tu? Haikuwa hivo, tangu alipoanza kutisha kwenye msimu wake wa kwanza, hajawahi kuporomoka uwezo tena. Wala haoneshi dalili za kuporomoka.
Mabao yake mawili aliyoyafunga kwenye ushindi wa 3-1 kwa Tottenham dhidi ya Newcastle, hayakumfanya tu kufikisha mabao 20 kwa misimu wa sita mfululizo bali alifungua ukurasa mpya wa mabao 200. Kati ya hayo, 185 ameyafunga akiwa na uzi wa Tottenham, kisha mengine aliyafunga alipoenda kwa mkopo Millwall-9, Leyton Orient-5 na Leicester city-2
Katika hali ya kushangaza, imemchukua michezo 350 tu kufikisha idadi hiyo ya mabao. Cristiano Ronaldo anayedaiwa kuwa moja kati ya wafungaji hatari kuwahi kutokea kwenye historia mpira wa miguu, ilimchukua michezo 29 zaidi ya Harry Kane kufikisha idadi hiyo ya mabao 200.
Si Ronaldo pekee, bali Harry Kane amefikisha mabao 200 kwa haraka zaidi kuliko Thierry Henry na Sergio Aguero. Wayne Rooney ambaye ni mfungaji wa pili bora wa muda wote wa epl, ilimchukua michezo 100 zaidi ya Kane kufikisha mabao 200.
Mourinho aliyefanya kazi na wachezaji wakubwa duniani alikuwa mmoja kati ya watu walioshangazwa na rekodi ya Harry Kane. Mourinho alisema “inashangaza sana kumuona amefikisha mabao 200 akiwa na umri mdogo namna hii. Sitashangaa kumuona akiwa na mabao 200 mengine.”
Wayne Rooney amefunga jumla ya mabao 208 ya premier league, Harry ameshafunga 138. Je Kane ataweza kuifikia na kuivunja rekodi hiyo.


Theckla
Harry kane yuko vizuri Sana kihalisia anajua majukum yake awapo uwanjani
farida ahmadi
Kane ni mchezaji mzuri Sana hanajua hanachokifanya
David Pere
Uwezo anao mkubwa sanaa kwahiyo Moto wake unazidi kuwa mkali sanaa
mwakalosi
kanifanyia kazi nzur sasa degea azingue tena fala yule kama alivowapa chelsea ushindi bwege yule
aisha
Harry kane ni mmoja kati ya watu wanaojielewa sana
Zeiyana
Kwa kiwango chake alicho onesha akiwa na juudi toka yupo na mri mdogo hataweza tu kufikisha hayo magoli ni yeye tu kujiamini na kuongeza juudi
Mwanahamisi
Kani Yuko vizuri kwenye uchezaji
Elika
Kane yupo vizuri sana binafsi mimi namuelewa mno
warda
Anajitahidi sana#Meridianbettz
mwajumah
Kani ni mchezaji mzuri sana#Meridianbettz
Magdalena
Kane anajua mpira na anajua n Nini anafanya akiwa uwanjani
Khadija
Herry kane yupo vzr sana kwan anajua anachokifanya#meridianbettz
Ester jackson
Harry Kane kijana mahiri mwenye kasi yampira akiwa uwanjani tunaona anavyo jituma sana na anajua anacho kifanya yuko yofauti na wachezaji wezake wa Tottenham
Revina
Hawezi kupoa ikiwa uwezo anao ,ni mchezaji wa kuigwa ,na anakipaji kikubwa sana
Neema juma
Kane moto wake unazidii kuwaka kwa kweli asibweteke lakini
Antony Luseno
Isingekuwa majeraha yanayomwandama kila baada ya muda kuvunja rekodi ya Rooney ni swala jepesi kwake
felister
anajua nini anachofanya anapokua uwanjani
Lydia Emmanuel Magoti
Herry Kane yupo vizuri sana nimchezaji anahejielewa anajituma kwenye kazi yake yupo vizuri kwamjula jembe uyo
Issa
Kane hatari sana uwezo wake kwenye boksi ni moto sema majeraha yanamfanya awe nje mara kwa mara
jullie
jamaa yuko vizuri alipeperusha sana bendera ya England
Tatu
Jerry Kane ni kijana anayejituma jitihada zake zinaweza kumfikisha mbali sana hapoi wala haboi
Salma
Ni mchezaji mzuri anajituma sana ndo maana anafanya vizuri
devotha
yani Harry Kane ni mchezaji mzuri na bora sana siku zote
Ernest
Binafsi naamini uwezo wa Harry Kane na kumtambua kama mchezaji hatari zaidi kwenye kufumania nyavu, Kwa msimu huu majeruhi yamemnyima raha na kumfanya kusuasua kwenye mbio za mfungaji bora
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
Sadick
Harry Kane ana njaa ya kufunga magoli naamini atafikisha magoli 500 muda mfupi kabla ya kufikisha miaka 30#meridianbettz
Fatuma kasomo
Ni mchezaji mzuri
Furahav
Harry kane inabidi akacheze man u kutokana na uwezo wao.
Hope mwaikuka
Namuelewa sana kane
Povel tz
Kane yupo vzr sana
Dorophina
Kane yupo vizuri sana
sabrina
Kane anajua mpira
Shafii
Harry Kane ni wakati wake sasa wa kutimkia club zenye mafanikio makubwa na yeye hajiweke mahari pazuri na mafanikio makubwa.
Emmy cleopa
Imekaa vizur sana
Amiri Kayera
Nimfungaj mzur san
Asia Abdy
Namkubal sana kane
Frank Patrick
Kane majeruhi tu yasimzidi ila anauwezo hata wakuzidi hiyo ratio anauwezo mkubwa wa kucheka na nyavu
Genia Sikaluzwe
Jamaa yuko vizuri uwajani
Omary lukumbi
Hary kane yuko on fire
caroline
Harry Kane ni wakati wake wa kutimiza ndoto zake
Zuhura omary kindamba
Harry Kane yuko vizuri sana anapokua uwanjani
Njiku
Kweli kabisa