Tanzania Kuna Chama Mmoja tu! (PART TWO)

Muda mwingine nakaa chini nawaza, Hivi ni kweli Simba ina fundi huyu anayepigania namba pale Zambia ‘chipolopolo’ mbele ya Kelvin Kampamba, Augustine Mulenga, Donashano Malama, Nathan Sinkala na Enock Mwepu wa Red bull Salzburg? Hivi ni kweli Chama yupo katika ardhi yetu?

Tanzania Kuna Chama Mmoja tu! (PART TWO)
Enock Mwepu

Nakumbuka yule mzee pale taifa siku ile aliniambia “Nakuambia Mungu wa Chama anatupenda sana kuliko anavompenda Chama. Kukubali Chama azaliwe huku kwetu na kukubali Chama acheze huku kwetu, hamna sababu nyingine zaidi ya kutupenda sisi kuliko yeye. Huyu alistahili kuzaliwa.”

Tanzania Kuna Chama Mmoja tu! (PART TWO)

Nakumbuka kabla yule mzee hajamalizia ndipo lile bao la maajabu lilikuja. Simba 3-1 Nkana. Mpira ulisukumiwa kambani na kisigino kilichositiriwa na ‘Predator Mutator’ kutoka Adidas. Ni mara chache sana kupata ‘shots’ kama zile. Muulize hata ‘Hans Cana’ na video zake atakusimulia. Ni mare chache sana. Ndiyo maana nahitaji passport ya Chama ili nihakiki uraia wake.

43 Komentara

    Kwa watanzania mtu akionyesha mazuri wanamwaga sifa zote ila akitetereka tu anakaa benchi mpaka anafanana nako haha ha haa

    Jibu

    Chama moja tuu simba ndio baba lao hakuna mpinzani#meridianbettz

    Jibu

    Chama ni mchezaji bora wakati wote simba ijivunie kuwa nae

    Jibu

    Chama ni mchezaji mzuri sana na anauwezo mzuri tu#Meridianbettz

    Jibu

    ha ha ha aya bhana naona mnampa promo

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Amekuwa na mchango muhimu ktk timu wakati unapohitajika sana#meridianbettz

    Jibu

    Chama ni mchezaji pekee amabaye anafanya vitu vinavyokubalika kwa mashabiki na nilazima tumsapoti yuko vizuri

    Jibu

    shukrani kwa mwandelezo

    Jibu

    Chama yupo vizuri makala imetulia htr

    Jibu

    Shukrani kwa mwendelezo kiukwel chama yupo vizuri .

    Jibu

    Kabisa yani chama atabaki kuwa chama akuna Kama wewe kiungo anaejielewa anajituma akiwa kwenye sekta take yampila anaju bana wacheni ubinafsi

    Jibu

    Duuh!

    Jibu

    Mwamba wa lusaka afai sana pale msimbazi

    Jibu

    Chama sio mtu wa mchezo mchezo, Acha tuu wamsifie ila jamaa anajuwa adi anakeraaaa

    Jibu

    Chama hana uwezo

    Jibu

    Yuko vizuri.

    Jibu

    Chama anaujua san

    Jibu

    Chama ni mtu hatari kwakwel

    Jibu

    Lazima tumpongeze bhana

    Jibu

    yuko vzur

    Jibu

    Namkubali sana chama

    Jibu

    Habari njema kwa wanasimba.

    Jibu

    Chama mwamba

    Jibu

    Chama ni mchezaji mzuri sana mwenye uwezo wa kipekee

    Jibu

    Chama mchezaji mwenyekipaji chake

    Jibu

    Yupo vizuri chama

    Jibu

    Chama anajuaa

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Huyo ndio mwamba wa lusaka anajua nini mashabiki na timu yake wanachotak

    Jibu

    Chama ni mchezaji mzuri Sana ila inabidi ajitume Sana kwani mpira unakuwa na maajaubu mengi ni dhahiri kuwa anaweza akawa na msimu mzuri kwa kipindi hiki alafu kipindi kijacho akawa ohivyio kabisa

    Jibu

    Jembe huyoo chama

    Jibu

    Huyu jamaa kwa uwezo wake hapa tz anacheza kwa bahati mbaya tu Ila kiwango chake ni Cha kucheza ulaya kabisa

    Jibu

    je wewe umeona kama mimi Hahahaha

    Jibu

    Chama yupo vizuri

    Jibu

    Maoni:chama ni fundi wanamuita mwamba wa lusaka

    Jibu

    Chama kama chama Hana mpinzani katika kuusakata mpira

    Jibu

    Chama ana uwezo mkubwa sana

    Jibu

    Huyu Chama huyu acheni tu#Meridianbettz

    Jibu

    Hapa tunazungumzia bahati

    Jibu

    Chama jeshii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.