Kiungo wa Kimataifa wa Uhispania, Thiago Alcantara yupo mbioni kujiunga na mabingwa wa Premier League, Liverpool baada ya kocha mkuu wa klabu hiyo, Jurgen Klopp kusisitiza kusajiliwa kwa mchezaji huyo kutoka Bayern Munich, kwa mujibu wa ripoti ya Bild.
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp anataka kumsajili mchezaji huyo ambaye kafanikiwa kushinda taji la Bundesliga na Kombe la Ujerumani msimu ulioisha hivi karibuni, lakini vilabu bado havijakubaliana ada ya uhamisho.

Kulingana na Bild, Liverpool hawako tayari kulipa euro zaidi ya milioni 25, wakati Bayern wanataka euro milioni 40 kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29.
Alcantara alijiunga na Bayern mnamo 2013, wakati kocha mkuu alikuwa Pep Guardiola ambaye naye alimtaka kwa nguvu zote.

Alishinda Ligi ya Mabingwa chini ya Guardiola mnamo 2010/11 wakiwa Barcelona na tangu ajiunge na Bayern, Alcantara ameshinda taji la Bundesliga katika kila msimu yote saba na aliinua Kombe la Ujerumani mara nne. Amecheza mechi 231 kwa Bayern, akifunga mabao 31 na Assists 37


Leonard
Ni kiungo mzuri
lombo
habar njema
Elika
Wafanye mchakato watoe hilo dau ili wamchukue huyo kiungo
SADICK
Ni vita kati ya Liverpool na Man City kugombea saini ya Alcantara#meridianbettz
Antony Luseno
Bonge la mchezaji ambaye klopp akifanikiwa kumpata ataleta mchango mkubwa liver
Mwanahamisi
Ni kiungo mahili sana
Khadija
Kiungo mahiri sana#meridianbettz
Zeiyana
Ni bora haende Liverpool poli ndio clabu kubwa hitakayo mfanya han,gae tena so tulikua tushaanza kumsahau..!
mwajumah
Ni kiungo mzuri sana#Meridianbettz
Angelina
Ni maauzi yake aende tu anapoona panamaslahi kwake
Caroline
Alcantara karibu liverpool….
Mariam mtandama
Habari njema
aisha
Ni kiungo mzuri sana
felister
mwenye kisu kikali ndo mla nyama apo
Ester jackson
Mwenye mkwanja mrefu ataondoka na saini
Isaya massawe
Alcantara ni mchezaji anaefanya vizuri sana kwenye klabu ya Bayern munich
Dorophina
Mbona Kuna mgongano nani atakaye msajili kati ya Liverpool au man city
Latifa juma mohamed
Habari njema
Franky
Wa mwokote tu
Lydia Emmanuel Magoti
Alcantara nimchezaji mzuri Sana namwenye uwerewa anajituma anajuann anakifanya jembe huyo
Fatina mfingi
Ni kiungo mnzur sana
Rehema
Ni kiungo mzuri
Issa
Alcantara hafai kloop amchukue tu atafit pale anfield
Samiah
Nikiungo mahiri
Ernest
Thiago Alcantara ni fundi ambaye bado soka linamdai kutokana na kiwango chake na mambo ambayo amekwisha fanya adi sasahivi.
Furahav
Itakuwa vizuri km akienda liver.
Amiri Kayera
Liverpool inamchukua uy
Hope mwaikuka
Axante kwa taarifa
Neema juma
Kiungo makinii huyo
Tatu
Ni kiungo nzuri
Edgar
Wamchukue to anafaa kabisa
devotha
liverpool kwa kupenda vitu vizuri!
Shafii
AlCantara kiungo mahiri Sana Liverpool wakifanya kweli hawatajutia kupata kandarasi yake.
Povel tz
Habar njema
sabrina
Yuko vizuri tu wamchukue
Fatuma kasomo
Gud news
Saupha mohamed
Kiungo mzuri
Salma
Kama ataenda liver safi sana
Theckla
Hakika Kama Liverpool wakifanikiwa kumchukua watakuwa wamepata kiungo mzuri sana
Aziza mushi
Ni kiungo mahiri.
farida ahmadi
Ni kiungo mzuri Sana
David Pere
Mpaka ikubaliwe Sasa isipokubaliwa hawatampata
mwakalosi
huyu fundi akitua anfield aisee epl Liverpool atasumbua aisee
tumaini
Maoni:ni kiungo bora
Magdalena
Akisajiliwa atakuwa amepata sehemu salama na nzuri zaidi katika soka
warda
Pamoja na ubigwa lakini bado wanasajili tu !!!!#Meridianbettz
Gabriel
Nice update 👍
sabrina
Liverpool wafanye kweli hapo wampate huyo mchezaji
Genia Sikaluzwe
Nikiungo na piya fundii wa mpira
Theonestina
Kiungo mzur Sana
Flomena
Kulingana na Bild, Liverpool hawako tayari kulipa euro zaidi ya milioni 25, wakati Bayern wanataka euro milioni 40 kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29.