Kiungo wa Kimataifa wa Uhispania, Thiago Alcantara yupo mbioni kujiunga na mabingwa wa Premier League, Liverpool baada ya kocha mkuu wa klabu hiyo, Jurgen Klopp kusisitiza kusajiliwa kwa mchezaji huyo …
Makala nyingine
Basi ni Meridianbet pekee inakupa Bonasi ya Milioni 300 kwa Jackpot ya timu 15 tu, usisubiri tena Piga *149*10# kwa Tigo pekee ufurahie Jackpot kubwa zaidi Tanzania. Usikae kinyonge kila …
Beki wa kushoto wa Manchester United Luke Shaw ataukosa mchezo wa nusu fainali ya FA Cup utakao ikutanisha timu ya Manchester United dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili katika dimba …
Baada ya soka kusimamishwa nchini Ufaransa kwa zaidi ya miezi 4 kutokana na janga la Corona, hatimaye mabingwa wa Ligue1 PSG wamerejea tena dimbani kujiandaa na mchezo wa Robo fainali Ligi …
Kocha Frank Lampard kuelekea mechi ya Manchester United vs Chelsea kwenye nusu fainali ya Kombe la FA amesema; “Mabeki wangu wanatakiwa kuwa makini sana, kwasababu kwa aina ya wachezaji wenye …
Mikel Arteta anaamini FA Cup haijawahi kuwasumbua kushinda Arsenal ikiwa wanaendakukabiliana na wababe Man City katika nusu fainali ya mashindano hayo. Mara ya mwisho hizi timu mbili zilkutana katika hatua …
Jorge Jesus amechaguliwa kuwa kocha mkuu wa Benifica kwa mara ya pili baada ya kuachana na mabingwa wa Brazil na Amerika ya Kusini klabu ya Flamengo. Benifica wamefikia maamuzi ya …
Katika mpira wa miguu kumekuwa na sheria inayotaka matokeo ya mwisho kuamuliwa kwa penati vilevile penati hutolewa mchezaji anapochezewa rafu kwenye boksi la timu pinzani. Hapa tunaangalia mechi ambazo zimechezwa …
David Silva mchezaji wa kimataifa wa Hispania anaye cheza katika Premier League tayari ameichezea klabu ya Manchester City michezo 432 na kuifungia timu hiyo magoli 77 na kutoa asisti 139 …
Rais wa zamani wa Barcelona, Joan Laporta anaamini Lionel Messi anaweza kutimka Camp Nou kama usiano wake na bodi na ya Barcelona hautaimarika. Lionel Messi amebakiza miezi 12 ya kuitumikia …
Lionel Messi amesema kwamba Barcelona inahitaji mabadiliko ya hali ya juu kama wanahitaji kutotolewa katika Champions League na Napoli baada ya kuachia ubingwa wao wa Laliga . Barcelona walipoteza mchezo …
Nyota wa Huston Rockets Harden amefika mjini Orlando siku ya Jumanne kwaajili ya mashindano ya NBA yanayo tarajiwa kuendelea mwisho wa mwezi huu. Staa huyo alifika kwa kuchelewa baada ya …
Berbatov amekosoa vikali hali inayo endelea kwa mchezaji wa kimataifa kutoka Wales Gareth Bale kwa kuigiza utoto kwenye mchezo dhidi ya Granada baada kutopewa nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha …
Gianluigi Donnarumma amehamasika kuendelea kusalia kunako klabu ya AC Milan na imeripotiwa ya kwamba golikipa huyo ataongeza mkataba msimu unaofuata, hii ni kwa mujibu wa kocha mkuu Stephano Piolo. Donnarumma …
Olivier Giroud amevuta hewa safi kwenye kikosi cha Chelsea na Tammy Abraham anatakiwa ajifunze kutoka kwa Mfaransa ambaye anaonekana kurejea kwenye kiwango chake, amesema Jimmy Floyd Hasselbaink. Abraham alikuwa chaguo …
Manchester United imeripotia kuwa wasikiliza ofa kwaajili ya Alexis Sanchez, Chris Smalling, Marcos Rojo, Phil Jones, Jesse Lingard na Diogo Dalot ili kutengeneza mkwanja kwaajili ya maingizo mapya majira ya …
Winga wa Wales, Rabbi Matondo ameomba msamaha baada ya kupigwa picha akiwa amevaa jezi ya wapinzani wa klabu. Matondo, 19, mchezaji wa Schalke alifanya mazoezi na jezi ya Borussia Dortmund. …
Giorgio Chiellini mlinzi wa timu ya Juventus yupo nje ya dimba kutokana na kutokuwa fit akisumbuliwa na majeraha ya goti imekuwa ni majuto makubwa kwa kocha wa Juventus Maurizio Sarri …
Arsenal wanafurahisha kuwatizama na ni kama wamekuwa na changamoto mpya katika Premier League mara baada ya kuwa chini ya Mikel Arteta, hii ni kwa mujibu wa Meneja wa klabu ya …
Mbio za kufuzu Champions League na Europa League kwa timu za Premier League Leicester, Chelsea, Manchester United,Wolves,Sheffield United, Tottenham na Burnley zina zidi kupamba moto wote wana ndoto ya kufuzu …