Man U Kupiga Panga Wachezaji Sita

Manchester United imeripotia kuwa wasikiliza ofa kwaajili ya Alexis Sanchez, Chris Smalling, Marcos Rojo, Phil Jones, Jesse Lingard na Diogo Dalot ili kutengeneza mkwanja kwaajili ya maingizo mapya majira ya kiangazi.

Makamu Mtendaji Mkuu Ed Woodward alitahadharisha mashabiki kuwa haitakuwa biashara kama awali kwenye soko la uhamisho kutokana na changamoto za kiuchumi kwasababu ya Corona lakini klabu inatarajia kuweka malengo kwaajili ya kuboresha kikosi.

Mshambuliaji Borussia Dortmund na England, Jadon Sancho amebaki kama chaguo la kwanza kwa Ole Gunnar Solskjaer, na Red Devils wanatarajia kuangalia namna ya kuboresha nafasi ya beki wa kati.

Wachezaji saba wa kikosi cha kwanza ameonyeshwa mlango wakutokea pale Theatre of Dreams tangu Solskjaer aichukua kutoka kwa Jose Mourinho Disemba 2018 na wote wanaweza kusepa katika wiki zijazo.

Ripoti zinasema, Sanchez, Smalling na Rojo – ambao wapo kwa mkopo Inter Milan, Roma na Estudiantes – wameonekana ni wachezaji ambao United haiwahitaji hivyo ni bora wauzwe. Ripoti pia imesema Jones, Lingard na Dalot wanaonekana kama wanambadala  Solskjaer hivyo oia wanaweza kupigwa bei kupunguza idadi.

52 Komentara

    Wawatoe tu wanao tuwekea usiku#Meridianbettz

    Jibu

    asante kwa taarifa #meridianbettz

    Jibu

    Kiwango anachoonyesha Sanchez ana nafasi kununuliwa na Inter. Timu zinajaribu kupunguza payroll #meridianbettz

    Jibu

    Kwa mtu kama rojo na sanchez itakuwa imefanya ubaya kuwauza kwa sababu viwango vyao vipo juu kwa sasa

    Jibu

    Duh! Balaa

    Jibu

    Man u wez hao …

    Jibu

    Duuuh wanaatar Sana.

    Jibu

    Nice update 👍

    Jibu

    Wawapgieh Bei hawana nafas Tena United pale

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Vzur wafany usajir

    Jibu

    Wafanye usajili itakua vizuri

    Jibu

    Nadhani wanataka kujenga kikosi upya kwa ajiri ya msimu ujao kweli kutakua na ushindani mkubwa EPL

    Jibu

    Duuh hatari

    Jibu

    Hili zoezi naona Klopp litamfaa pia atuletee watu wengine wauzwe tu

    Jibu

    Sanchez wamefanya makosa sana kumuuza dogo bado yupo vizuri sana kwenye gemu na anajituma

    Jibu

    Du nishida

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Wawatoe tu mm wala ata siwakubali#Meridianbettz

    Jibu

    Wauzeni tuu muda wao umeisha

    Jibu

    Akiwatoa hao hakikisha amefanya usahili wa nguvu

    Jibu

    Kama halitoathiri tiny wawatoe tu walete wapya

    Jibu

    Wauzen tuu muda wao umeisha#meridianbettz

    Jibu

    Kama timu haitapata madhara itakuwa vizuri wakiwatoa

    Jibu

    kweli hali ni ngumu.mpaka na man u wanapiga panga wachezaji

    Jibu

    Goodupdate#meridanbet

    Jibu

    Man u sasa imeamua kuwatoa wote ambao hawaleti mabadiliko safii sana man kwanini mtu unlipa pesa nyingi lakini hawaleti mafanikio bora waondoke

    Jibu

    Bora wafanye usajili

    Jibu

    Vizuri sana wapo wanao tuwekea usiku hapo man U

    Jibu

    Hii ni balaa kwa wachezaji hao waliopigwa panga#meridianbett

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Duuu hatari

    Jibu

    Sio mbaya sababu wanataka kutengeneza kikosi cha ushindani zaidi

    Jibu

    Balaa hilo

    Jibu

    Wauzwe tu hawana huwezo wa kuichezea man u.

    Jibu

    Jambo zuri sana kwa uongozi wa man u chini ya kocha mchezaji wa zamani wa man u ole gunnar kwa kuwaeka sokoni baadhi ya wachezaji hao kwa ajili ya kubolesha kikosi kwa kununua wachezaji ambao wataleta chachu ya kuwania ubingwa wa EPL ata kupambana na changamoto ya UEFA balani ulaya good nimeipenda hii

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Hili zoezi ni zuri sana walete watu watakaotufanya tuchukue kombe msimu ujao

    Jibu

    Duuh hatarii

    Jibu

    Saf awanafaida

    Jibu

    Duu hii hatar ila kwa dilot na rojo wange baki tuu

    Jibu

    🔥🔥🔥

    Jibu

    Duuu ataliii

    Jibu

    Man u wanaangaika kweli

    Jibu

    Duh!

    Jibu

    Itakuwa Jambo jema wakisajili wachezaji wa kiwango cha juu kwani mara nyingi man u wamekuwa wakifungwa ovyiyo tu

    Jibu

    Kweli Olle ameamua kukisika kikosi chake upya ili naye awake kumbkumbu zake Kama babu

    Jibu

    marcos rojo injury zimemuharibia kiwango chake wasimsahau shaw hatuwez kuwa na mchezaji ambaye kila siku anaumia yeye tu hata kama hajaguswa bhn

    Jibu

    naona wanataka kusajili kikosi chengine

    Jibu

    Aisee hii ni hatari

    Jibu

    Hitakua vizuri kocha kama kocha kuhimarisha wigo wake

    Jibu

    Acha wafyekwe tu#Meridianbettz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.