Tottenham ya Jose Mourinho inasafiri kuwafata Newcastle United huko St James Park. Spurs wanasuasua kwenye mechi zote za ugenini msimu huu na tunatarajia game ngumu wanapokutana na Newcastle United ya Steve Bruce.
Tottenham wanahitaji ushindi kuweka hai matumaini yao ya kufuzu Mashindano ya Ulaya kwa msimu ujao.
Timu ya Jose Mourinho iko alama mbili nyuma ya Sheffield United katika mbio za kupigania kufuzu Ligi ya Europa.

Meridianbetz wanakupa Odds nzuri sana za Ubashiri kwa mechi hii.
1. Baada ya kushinda game yao ya London derby kwa mabao 2-1 dhidi ya Arsenal mwishoni mwa wiki iliyopita, Spurs wanapewa nafasi ya kushinda kwa odd ya (1.64) kutoka WinPrincess.
2. Kwa upande wa Newcastle wamepoteza tu dhidi ya Manchester City kwenye mechi zao tisa za mwisho wakiwa nyumbani, na wamepewa odd ya (5.15) kushinda.
X. Michezo mitano kati ya saba ya hivi karibuni kwenye uwanja wa Newcastle imemalizika kwa sare, na kuna odd ya (3.55) kwenye hii pia.
Kuna ofa kibao sana unzaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
- Bonyeza HAPA Kujiunga.


mwajumah
Tottenham imekuwa ikishinda kwa taabu sana inapocheza ugenini. Ni mechi ngumu sana kipindi cha lala salama hiki#meridianbettz
Issa
Totenham inabid wakaze maana newcastle wakiwa stjames park ni hatari inabid wajipange sana
devotha
Tottenham inabidi wapambane ii washinde
Warda
Ila Tottenham watapigwa tu#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Fresh tu
Franky
Tottenham wako poa I hop wata Fanya vizur tu
Gabriel
Mechi itakuwa Kali sana hii na wasipoangalia Hotspur wasipo jipanga wanaweza kupoteza nafasi ya kuendelea kufudhu maana Newcastle wako vizur sana na hakuna kiungo majerui yaaan kwa upande mwingine wako vzur
Theonestina
Itakuwa bonge la mechi
Povel tz
Spur Kama wanapgah mtu vile
Janeflora malisa
Good
Amiri Kayera
Mechi kalii
Saupha mohamed
Binge LA mechi
Shafii
Sio mechi ya kukosa hii.
neema hassan
Asante kwa makala
Frank Patrick
Newcastle wanacho chakujifunza msimu ujao waje kivingine wamekuwabsio washindani saana msimu huu
Dorophina
Newcastle inabidi wajitahidi kushinda wapande daraja
Evaluziga
Tottenham wajitaidi washinde
Adelta
Mechi kali
Magdalena
Sizani kama new castle watakubali kichapo wakiwa nyumbani
Khadija
Mechi kali#meridianbettz
caroline
Tottenham wapo vizuri
Genia Sikaluzwe
Tottenham itabidi ajitaidi ili ashinde
aisha
Utakua mtanange wa maana
Angelina
Mech kali sana
Ester jackson
Good
Elika
Hapo inabidi totenhum ijitahidi tu maana ni mechi ngumu sana
Lydia Emmanuel Magoti
Mtanange ulikuwa watarii Sana huo
Mwanahamisi
Mechi tabambe
Johnmary joel
Hizi mechi ni kali sana ila 90 zitaamua mshindi nani#meridianbett
Ernest
Vijana wa Mourinho wameamua kufanya kazi lakini muda mchache na mambo mengi kwao
Aziza mushi
Tottenihm wajitahidi
Fatuma kasomo
Wameamua kufanya kz ila muda mchache
Agness
Bongela mechi
Samiah
Mtanange wa maana
Njiku
Tottenham wanaonekana kama wamepoa sana msimu na hii sijui kwa nini kama wachezaji wazuri wanao sijajua kocha ndio anafanya timu kuwa kama imepoa hivi
Samira
Team zote mbili sasa hvi haziko vizuri
Omary lukumbi
Mechi itakua kali sana
sabrina
Mechi kali sana hiyo
Amiri Kayera
Mechi nzur
Saupha mohamed
Mechi kalii
Salma
Safi tu
Theckla
Mechi ngum Sana hii ila Nampa ushindi Tottenham
David Pere
Mechi ilikuwa nzuri sanaa na ya kivutia
mwakalosi
nilitegemea ushindani kutoka kwa Newcastle lakin wameniangusha sana
lombo
gud
felister
ilikua bonge la mechi
Rehema
Mechi ya kibabe hatari
Zeiyana
Kwa maelezo Tottenham hawapo vibaya sana