Bumbuli Awataka Mashabiki Kusahau Kipigo

Young Africans (Yanga SC) imewataka mashabiki wake kusahau kipigo 4-1 dhidi ya watani wao Simba SC Jumapili.

Wekundu wa Msimbazi walikuwa bora kuliko wapinzani wao kwenye mpambanao wa nusu fainali ya Kome la FA  kwa kuwamiminia mvua ya magoli kupitia Fraga, Clatous Chama, Luis Miquissone na Muzamiru Yassin yalitosha kuwafanya mashabiki wa Simba wafurahi  pale Uwanja wa Taifa, na kuweka matumaini yao ya kutwaa mataji mawaili msimu huu hai.

Katika hatua nyingine kwa kipigo hicho walichokipata Yanga, kinamaanisha hawatashiriki Kombe la Shirikisho kwa msimu ujao.

Afisa habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amewaomba mashabiki wasahau kipigo hicho cha fedheha na kuishangilia timu katika kuhakikisha wanamaliza nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara katika mechi yao inayofuata dhidi ya Singida United Jumatano.

47 Komentara

    kusahau kipigo cha 4g kwa haraka sio rahisi hasa umefungwa na mtani wa jadi simba? bora ingekua timu ingine

    Jibu

    Hawawezi kusahau hahaaaa

    Jibu

    Kwa wana yanga si jambo rahisi kusahau hili mapema.

    Jibu

    Wekundu wa Msimbazi walikuwa bora kuliko wapinzani wao kwenye mpambanao wa nusu fainali so kipigo kilikua ni lazima pole yao sana jina wa yanga na mashabiki wao

    Jibu

    mwenyezi kaumba kitu kinachoitwa sahau kwanini tusisahau tunasahau vizuri ijapokua inatuuma#Zeiyana

    Jibu

    Eti wasahau🤣🤣🤣🤣wasahau!!!ni ngumu sana hili wanalo hadi mwakani tar na mwezi kama huu#Meridianbettz

    Jibu

    Yataisha tu

    Jibu

    Asitusahaulishe

    Jibu

    Sio rahisi kusahau ila tunajitahid

    Jibu

    Hayo mapito tu tutasahau

    Jibu

    Kwa wana yanga sio rahisi kusahau mnatakiwa mpange upya kikosi chenu upya kuanzia koli kipa,walinda mlango ,wakabaji mpaka washambuliaji na pia mnatakiwa mfunge mechi mfululizo ndio labda tunaweza kusahau

    Jibu

    Dah poleni sana yanga najua bado wanamaumivu..huo ni wakati usiosahaulika

    Jibu

    Mashabiki wa yanga tumesahau na piya tumekubali matokeo tunajipanga kwa musimu ujao

    Jibu

    Kwa mashabiki wa yanga kusahau si rahisi sababu bado wakikutana na mashabiki wa Simba wanawakumbushia watumia muda mrefu Sana kusahau wajikaze tu ndo ushindani na utani wa jadi

    Jibu

    Kusahau ni ngumu sana maana walijua watashinda wao na mambo ya kawa kinyume na wao

    Jibu

    Poleni Sana yanga

    Jibu

    Yanga inabid wasahau kipigo maana hao simba pia walishapigwa nao hivyo ni sehemu ya mchezo

    Jibu

    Kuna maisha hata baada ya kipigo#meridianbettz

    Jibu

    Kwan tulicheza lini maana nimeshasahau ata lin tulicheza hii gemu hii n kukumbushiana tu
    Hv a sad news 😥

    Jibu

    Kusahau itakuwa ngum

    Jibu

    Yanga bado Sana

    Jibu

    Awawez kusahau iyo mpk wakutan ten

    Jibu

    Yanga badoo sanaa

    Jibu

    Ni jambo ambalo haliwezi kusaulika mapema kwenye vichwa vya mashabiki wa yanga.

    Jibu

    Watasahau lkn itachukua muda mrefu

    Jibu

    Bongo watu wanapenda mpira ila mpira haujiendeshi unaendeshwa ni kero

    Jibu

    Tushasahau kipigo Cha kawaidatu

    Jibu

    Duuh polen sana yanga najua hamtaweza kusahau kipigo saiz#Meridianbettz

    Jibu

    Kusahau kipigo cha 4g ilo lisaulike Bali na kipigo pia mchezaji wao aliwatia aibu uwanjani

    Jibu

    duh!!mashabiki watasahau rakin watachukua muda sana#meridianbettz

    Jibu

    hili nalo litapita maisha lazima yaendelee

    Jibu

    Watanzaje kusau gafra kile kipigo watakuwa wanakiwaza kila wakiamka hahaha

    Jibu

    Jamani ni ngumu sana kusahau#meridianbett

    Jibu

    Sio kwakipogo kilee watasahau ila itachukua muda

    Jibu

    4G sio ya mchezo mchezo

    Jibu

    Simba cyoya mchezo mchezo

    Jibu

    Kusahaulika hii inshu ngumu bora wangefungwa na timu nyingine sio watani wajadi maan kila siku wimbo midomoni kwa mashabiki wa simbaa

    Jibu

    Yanga watoto wadogo tu.

    Jibu

    Unasahauje magoli manne kirahisi hivyo

    Jibu

    Kweli kabisa inabidi tusahau tuangalie linalo kuja mbele

    Jibu

    asiye kubali kushindwa si mshindani

    Jibu

    Tunajitahdi kusahau

    Jibu

    Ni ngum Sana kusahu ila sio mwisho wa soka yanga itaendelea kuwepo

    Jibu

    Kusahau halihopota Ndio kitu Cha msingi sanaa waangalie msimu ujao watafanyaje

    Jibu

    unawezaje kusahau kidonda wakati kovu bado lipo

    Jibu

    vzr

    Jibu

    Kwa magoal gan hadi tusisahau had hapa tulipo tumeshaau Ila imebaki history tuu😀😀😀

    Jibu

Acha ujumbe