Imethibitishwa kuwa dirisha la usajili kwa Ligi Kuu ya Uingereza linafunguliwa rasmi July 27.
EPL wamethibitisha tarehe na taratibu za usajili la msimu wa joto 2020 unaotarajiwa kufunguliwa hapo Julai 27.
Taratibu za kukamilisha mpango huu zinaendelea, huku taratibu zikiwa zinangojea kurasimishwa na Shirikisho la Soka Duniani FIFA.
Mpango huu unataja kuwa dirisha la usajili litachukua wiki 10 tangu kumalizika kwa EPL, ikiwa FIFA watapitisha.

Kwa maana hii ratiba rasmi inatarajia kuanza tarehe 27 Julai na kumalizika Oktoba 5. Mapendekezo yanahusisha pia kutumia siku 11 tu kwa uhamisho wa ndani Uingereza. Hii itawaruhusu klabu za EPL kufanya biashara na vilabu vya EFL kuanzia tarehe 5 Oktoba hadi tarehe 16 Oktoba 2020.
Umeripotiwa wasi wasi juu ya siku 11 za uhamisho wa ndani tu hazitoshi kwa vilabu vinavyoshiriki EPL, huenda wakahitaji mda zaidi. EPL wanasema tayari wameshafanya majadiliano na EFL wanaamini mda huo utatosha.
Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


Franky
Muda wakusajiri sasa ….nice news
isha
Taarifa njema kwa sisi mashabiki
Elika
Hiyo ni fursa sasa..habari njema sana hiyoo
Magdalena
Habari njema kwa wachezaji waliokuwa manatarajia kijana timu
mwajumah
Habari njema#Meridianbettz
Fatina mfingi
Habr njema
devotha
good newz; huu ndo wakati muafaka uliokua unasubiliwa na vilabu vingi vya uingereza
Dorophina
Habari njema hizi kwa kila timu
Angelina
Goodnews
Mwanahamisi
Habari njema
felister
habari njema
Zeiyana
Kwa wale ambao timu zao zinamapungufu sasa huu ndo mda wa kuingia sokoni.
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana hizi
Warda
Heee Jamani mambo yaende vizur Corona asirudi#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Habar nzur kuisikia
Theonestina
Habari njema kwetu
Ester jackson
Habari nzuri sana kwa sisi mashabiki
sabrina
Habari njema hii
Khadija
Habari njema hii#meridianbettz
fatumakasom
Habari njema
Issa
Dirisha ndio hilo ole mchukue sancho sio unaongea tu msimu ujao united iwe moto
Sadick
Kipindi cha kuona nani anakwenda wapi kwa bei gani#meridianbettz
Gabriel
Habar njema sana 👍
Janeflora malisa
Jambo zur
Povel tz
Gud news
Amiri Kayera
Vizur
Isaya massawe
Kipindi muhimu hiki kwa mabadiliko ya vilabu kuwapunguza wachezaji na kuongeza wapya
Saupha mohamed
Good news
Shafii
Ni wakati wa timu kuchukua watu wa kazi sasa na kuongeza nguvu kwenye vikosi vyao patachimbika EPL msimu ujao.
neema hassan
Habari njema
tumaini
Maoni:Good news
Frank Patrick
Pengine hiki kipindi cha usajili ndio kipindi nakipenda kwenye soka kuliko
Evaluziga
Huu ndio muda muafaka ulikuwa unasubiliwa na virabu vingi vya wingereza
Tatu
Hii habari nzuri kwa mashabiki wa mpira wa mpira na vilabu vyake
caroline
wasajili wachezaji wenye viwango
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri Sasa mda wausajili ushawadia
Aziza mushi
Habari njema .
MnonganeJR
Anajua Chama langu man utd alitaniangusha#meridianbettz
Samiah
Nihabari njema
Ernest
Hii imekaa pouwa sana kwa makocha kufanya mipango yao mapema kabla ya msimu kuanza
Furahav
Habari njema.
Samira
Habari njema hii
farida ahmadi
Asante kwa taarifa nzuri
Samira
Abaki tu millan
Njiku
Safii sana hii ipo poa kazi kwa makocha kufanya usajili mapema kabla dirisha la usajili kufungwa
Omary lukumbi
Habar njema na wadau wa soka dunian
Edgar
Good information
Salma
Ni habari njema
Theckla
Imekaa vizuri Asante meridianbet
David Pere
Wafingue ili watu wafanye usajili kwa haraka sanaa maana muda no mdogo
mwakalosi
natarijia soko kuwa gumu sana huu msimu
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet
JULIANA
Asante kwataharifa
Rehema
Safi sana meridianbet kwa taarifa
Latifa juma mohamed
Gud news