Winga wa Wales, Rabbi Matondo ameomba msamaha baada ya kupigwa picha akiwa amevaa jezi ya wapinzani wa klabu.
Matondo, 19, mchezaji wa Schalke alifanya mazoezi na jezi ya Borussia Dortmund.

Matondo amesema alivaa jezi ya “rafiki wa karibu” Jadon Sancho katika gym binafsi.
“Nataka niombe msamaha kutoka ndani ya moyo kwa yoyote niliyemkwaza kutokana na matendo yangu,” aliandika Matondo kwenye mtandao wa kijamii.
Picha halisi ilifutwa, japo ilisambaa sana mitandaoni.
Matondo aliandika: “Kutokana na picha zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii nikiwa nimevaa jezi ya wapinzani wetu, Ninahuzunika na kuwahuzunisha wote wanaohusika na Schalke.
“Nataka kumaliza sintofahamu hii kwa kuomba msamaha yoyote kwenye klabu – lakini hasa mashabiki wetu. Kutokana na maumivu niliyowapatia na haikuwa dhamira yangu.”
Matondo, alijiunga na Schalke kutoka kwa Manchester City kwa mkataba wa miaka minne na nusu Januari 2019, alisema alifikiri ameva jezi ya Uingereza ya mchezaji Sancho kumbe alivaa ya Dortmund.


Franky
Matondo hana maba na Dortmund
Elika
Aombae msamaha daima husamehewa.haina budi kusamehe ingawa katambua kosa lake
Magdalena
Ni ukiukwaji wa masharti kuvaa Jessy ya timu pinzani lakini kama naomba msamaha n vyema akisamehewa kwa kutambua kosa lake
isha
Asamehewe kwasababu ameomba radhi kwa nia nzuri
mwajumah
Asanten kwa taarifa#Meridianbettz
Ally mohamedi ally
Kwann msimsameh wakat kaomba radhi
Dorophina
Ni sawa km ameomba msamaa haina budi kumsamehe tu
devotha
amekiri kosa lake hakuna budi kusamehewa.
Angelina
Sio jambo zuri kwakuwa ameomba msamaha hana budi kusamehewa
felister
duh kumbe hauruuhusiwi kuvaa jezi ya wapinzani…!
Zeiyana
Labda anapenda Uzi wa dortmund
Genia Sikaluzwe
Ni zuri kusamehewa sababu amejuwa kosalake na amekili
Warda
Angekuwa wa Simba kafanya hivi tungemtimua kabisa vile hatupendagi ujinga#Meridianbettz
Theonestina
Asamehewe tu
Hope mwaikuka
Kakosea asamehewe
sabrina
Kashaomba msamaha wa dhati na kukili kosa lake wamsamehe tu
Ester jackson
Asemehewe ila kumbe ukivaa jezi tofauti na timu bayo unachezea ni kosa hata kama ulibadilisha wachezaji ni hatari sana
Issa
Matondo dortmund panakutaka braza
Gabriel
Hv nice update 👍
Sadick
Ameonyesha uungwana kuomba radhi na hivyo inavyotakiwa kuwa unapokuwa public figure#meridianbettz
Janeflora malisa
Ni vzr maan katumia heshima
Povel tz
Matondo anaipenda Sana dortumond
Amiri Kayera
Asamehew tu
Saupha mohamed
Wamsamehee …at a nilikua sijui kama hawaluhisu kuvaa jez pinzani
Shafii
Sio jambo baya kupenda Uzi wa timu pinzani wamsamehe tu.
Frank Patrick
Kwetu huku tunavaa vaa tu araf haiwi kitu
Evaluziga
Asamehe kwakuwa ameomba radhi
Tatu
Amejua kosa lake ndiomaana ameomba msamaha sisi mashabiki atuna budi kunsamehe kwani amejutia kosa lake
caroline
muungwana akikosea anaomba msamaha ..hongera MAtondo
Mwanahamisi
Bora wamsamehe tuu
Lydia Emmanuel Magoti
Sio Jambo baya kupenda timu pinzani kuvaa jezi wamsamee tuu mkosea usamehewa
Aziza mushi
Bora asamehewe tu kwa kuwa kaomba radhi.
Ernest
Hapa nadhani alitaka kuonyesha kama anamkubali sana Sancho
Njiku
Hii mbona fear kwa wachezaji sasa mbona wanachukuaga jezi uwanjani wanabadilishana mbona ipo poa hii dah me nikajua bongo tu kumbe mpka ulaya maana huku kwetu mchezaji wa yanga sidhana kama itamkuta kavaa jezi ya simbaa itakuwa baraa aisee
Furahav
Mbona jambo la kawaida tu hilo.
Samira
Mtu anaeomba msamaha siku zote anastahili kusamehewa coz anakua ameelewa kwamba amekosea
Tahiya
Kumbe ni makosa kwa wenzetu duu, uku mtu anajez za timu hata kumi na poa tyuu
Omary lukumbi
Kuvaa jez si dhambi bali inaleta taswira mpya kwa wadau wa soka
Salma
Duh! Sheria kali
Theckla
Kwakuwa ameomba radhi ni vema wakamsamehe
David Pere
Kama ameona ukweli upo huko wamwache sense tu
mwakalosi
fans are always negative when it’s comes to their opponents
lombo
duuh
Rehema
Aisee wamsamehe tu
Samiah
Duuh