Arsenal wanafurahisha kuwatizama na ni kama wamekuwa na changamoto mpya katika Premier League mara baada ya kuwa chini ya Mikel Arteta, hii ni kwa mujibu wa Meneja wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp.
Klopp ambaye ni bingwa mpya wa Premier League atasafiri mpaka dimba la Emirates siku ya Jumatano kuumana na Washika mitutu hao ambao mchezo uliyopita walipoteza dhidi ya Tottenham siku yaJumapili.
The Gunners wapo nafasi ya tisa kwenye msimamo wa ligi na watamaliza msimu nje ya nne bora kwa mara ya nne mfululizo.
Lakini Klopp amekwisha ona ishara nzuri kutoka kwa Arsenal tangu Arteta achukue nafasi ya Unai Emery mwezi Disemba na ameitabiria mazuri timu hiyo.
“Inaonekana kama Arsenal watarudi kwenye changamoto thabiti tena,” alisema Klopp.”Kwa bahati mbaya ndiyo wanaweza wakatusumbua.”
“Mikel ni sehemu ya kizazi kipya cha makocha wanao furahisha. Unafurahia kuwaangalia.
“Unaweza ukaona aina ya ufundishaji, amevutiwa na Guardiola. Mikel amekuwa na wazo kama hilo kipindi yeye ni mchezaji. Kikosi cha Arsenal ni kizuri.’
Klopp ameripoti ya kuwa hakuna majeruhi ambaye amepata afueni na kwenye timu yake inayo kwenda kukabiliana na Arsenal kunauwezekano akakitumia kikosi kile kile kwenye mchezo dhidi ya Burnley siku ya Jumamosi na matokeo yalikuwa sare.
James Milner anaonekana kama hatorudi mpaka mchezo na Chelsea siku ya Julai 22.
“Wakati viajana wanapo kuwa nyumbani wanafanya yale yenye umuhimu tunatakiwa tumailize ligi hii yenye ratiba iliyo bana,’ Klopp alisema na michezo mitatu bado kucheza.
“Tulikuwa na kiwango kimoja safi kabisa kwenye mchezo dhidi ya Burnley. Nilifurahi ingawa hatukufunga magoli, tunatakiwa tuoneshe mtizamo mzuri na kiu kwa mara nyingine.”
Kuna ofa kibao sana unzaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.
Samiah
MMmh
Issa
Arteta. Inaonyesha kama mfumo wake
Issa
Mfumo wa arteta kwa the gunmees unaonyesha kama haujaleta mafanikio kwa arsenal inabidi. Afanye usajili msimu ujao ili wakimbize top 4
Franky
Good news
JULIANA
Asante kwakunijuza
Shafii
Taarifa njema.
Hope mwaikuka
Axante kwa taarifa
Amiri Kayera
Kwer kabx
Omary lukumbi
Kwa arteta bado sana kusumbua ligi kuu epl
Njiku
Good news
Warda
🤣🤣Clopp nae anajifanya mtabiri#Meridianbettz
tumaini
Maoni:Good news
Magdalena
Arteta anabidi abadili mifumo yake
Dorophina
Arteta inabidi kutafuta njia mbadala ili kujua anaisaidiaje timu yake ipande daraja
Khadija
Taarifa njema#meridianbettz
Adelta
Good news
Mwanahamisi
Gud news
Latifa juma mohamed
Arteta natumai atasaidia timi ikawa Bora.
Elika
Habari njema
Ester jackson
Kwa maoni yangu arsenal wanaweza kubahatisha kumfunga Liverpool kama watakuwa makini na kasi wanayoitumia zidi ya mashambulizi kwenye eneo lao lakini wasipo fanya hivyo watafugwa tu .
felister
habari nzuri
Fatina mfingi
Asanteh kwa ujumbe!
lombo
habar njema
Zeiyana
Klopp hana jivuna sana lakini hasijisahau sana kwani mpira matokeo dk 90 tu
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema
isha
Klopp yuko vizuri sana
Angelina
Arteta anakazi ya ziada
David Pere
Arteta anajua anchokifanya Ndio maana kloop anasema ayaleta changamoto
farida ahmadi
Kweli kabisah klopp hajaongopa
Fatuma kasomo
Asante kwa taaarifa
Salma
Habari njema
devotha
asante kwa taarifa
Gabriel
Liverpool na Arsenal tangu mwaka 2010 wamekutana mara 13, Arsenal wameshinda mara nyingi zaidi mara 4 wakati Liverpool wameshinda mara 3 na kutoka suluhu mara 6.
Jumla ya magoli 45 yamefungwa katika michezo hiyo na vipigo vikubwa ni 08 Feb 2014 Liverpool 5 Arsenal 1 katika dimba la Anfield.
04 Apr 2015 Arsenal 4 Liverpool 1katika dimba la Emirates.
Zifuatazo ni rekodi za Liverpool na Arsenal katika ligi kuu tangu 2010
15 Aug 2010 Liverpool v Arsenal 1-1 2010/2011
17 Apr 2011 Arsenal v Liverpool 1-1
20 Aug 2011 Arsenal v Liverpool 0-2 2011/2012
03 Mar 2012 Liverpool v Arsenal 1-2
02 Sep 2012 Liverpool v Arsenal 0-2 2012/2013
30 Jan 2013 Arsenal v Liverpool 2-2
02 Nov 2013 Arsenal v Liverpool 2-0 2013/2014
08 Feb 2014 Liverpool v Arsenal 5-1
21 Dec 2014 Liverpool v Arsenal 2-2 2014/2015
04 Apr 2015 Arsenal v Liverpool 4-1
24 Aug 2015 Arsenal v Liverpool 0-0 2015/2016
13 Jan 2016 Liverpool v Arsenal 3-3
Mpaka nilipoishia hapa tunapata picha kuwa hawa vijogoo wajipange
Sadick
Klopp kaongea kiungwana. Ili kuona Arteta ana mipango mikubwa kwa Arsenal ni kuona atakavyofanya usajiri wake msimu#meridianbettz
sabrina
Arteta inabidi akaze iligurudumu la Arsenal lisonge
Theonestina
Asante kwa kutujuza
Povel tz
Gud news
Isaya massawe
Hii mechi ya Leo si mchezo
Saupha mohamed
Good news
tumaini
Maoni: asante kwa taarifa
Frank Patrick
Wanaonyesha nidhamu kubwa sana kwenye kushambulia na kukaba pia naamini wataleta changamoto sana next season
caroline
Klopp anampenda Arteta
Lydia Emmanuel Magoti
Arteta ajipange kisawa sawa azidi kusonga mbele
Ernest
Natamani kuiona safari ndefu Mikel Arteta katika ukocha
Samira
Ahsanteni #meridianbet kwa habari nzuri
mwakalosi
Klopp anamkejeri tu arteta arsenal na ushindani wapi na wapi
Rehema
Gud news