Beki wa kushoto wa Manchester United Luke Shaw ataukosa mchezo wa nusu fainali ya FA Cup utakao ikutanisha timu ya Manchester United dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili katika dimba la Wembley.
Mlinzi huyo alipata majeraha ya kifundo cha mguu kwenye mchezo dhidi ya Southampton ambao United walilazimishwa sare ya 2-2 katika dimba lao la Old Trafford na kutocheza mchezo uliofuata dhidi ya Crystal Palace na kuibuka na ushindi wa 2-0 siku ya Alhamisi.
Mkurugenzi wa Man United Ole Gunnar Solskjaer hamtarajii Luke Shaw kuukabili upande wa Frank Lampard, lakini kuna habari njema kwa Brandon Williams ambaye alikuwa na majeraha ya kichwa aliyoyapata kwenye mchezo dhidi ya Saints pia aliukosa mchezo katika dimba la Selhurst Park kufuatia kusumbuliwa na maumivu katika jicho lake la kushoto.
“Luke atakuwa nje,” Solskjaer aliongea hivyo siku ya Jumamosi. “Bado sijaona kupata nafuu.
“Brandon analeta matumaini ya kucheza, atakupo mazoezini leo na jicho lake tutaona kama ataweza kuuona mpira pindi atakapo kuwa uwanjani, atakuwa sawa.”
Timothy Fosu – Mensah alianzia upande wa kushoto katika safu ya ulinzi dhidi ya Palace mchezo wake wa kwanza tangu mwaka 2017 mwezi mei.
Kuna ofa kibao unazaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.
Dorophina
Pole yake luke shaw kwa kupata majeraha utakuwa sawa tu
Shafii
Ni bonge la pengo katika kuelekea mchezo muhimu Kama huu wa nusu fainali zidi ya Chelsea.
felister
pole shaw
mwajumah
Pole sana luke shaw#Meridianbettz
Khadija
Pole sana shaw#meridianbettz
SADICK
Luke show amekuwa na gundu na majeruhi#meridianbettz
David Pere
Inabidi yuombee alone haraka sanaa
aisha
Pole sana shaw
Genia Sikaluzwe
Pole shaw
Issa
Pigo kwa united pia kwa mechi muhimu kama hiyo
Angelina
Habari mbaya hizi
Lydia Emmanuel Magoti
Daa tuna wakat mgumu Sana Man U inaitajika tujipange kisawasawa iliimechi tuikabili kwasababu kunapengo kubwa Sana hapo mtu kashakuwa majeruhi inabidi tupambane Sana Man U
caroline
pole sana
Gabriel
Ni habar ya kusikitisha sana kwa club ya Manchester United kumkosa beki wa kushoto wa Manchester United, Luke Shaw anatarajiwa kukosa mechi zote zilizosalia msimu huu kutokana na kupata majeruhi ya mguu. Shaw mwenye umri wa miaka 21, anatarajia kuonwa na wataalamu ili kujua ukubwa wa tatizo lake baada ya Jumatatu kubainika kuwa alipata matatizo kwenye ngano ya goti lake. Beki huyo wa kimataifa wa Uingereza alitolewa uwanjani baada ya kupita dakika tisa katika mchezo wa Jumapili iliyopita uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Swansea City huko Old Trafford. Mapema jana, akizungumza na wanahabari meneja wa United Jose Mourinho alithibitisha kuwa Shaw hatacheza tena msimu huu
Zeiyana
Man chester wana wachezaji wazuri tu wenye uwezo wao sijui kama kocha hata humuzia kichwa kwa mchezaji mmoja tu
Magdalena
Pole sana kwake
MnonganeJR
Tupo pamoja luck Shaw….vijana wetu watafanyaka kazi ..najua tunakukosa mchezaji muhimu #meridianbetz
Sylvester
Luke Shaw mkongwe nina imani atakua vizuri kuja kumalizia mechi mbili za mwisho za ligi kuu kwani ni beki ambaye kwa sasa anahitajika sana Manchester united ingawa umri wake umeshamtupa mkono hivyo basi Manchester wanahitaji kusajili beki mwingine wa kushoto mwenye uwezo kama Luke
Saupha mohamed
Pole Sana’a Luke shaw
Elika
Pole yake
Fatina mfingi
Pole yake
Hope mwaikuka
Pole sana kwa Shaw
Samira
Pole sana shaw
Omary lukumbi
Ni pigo sana ila kwa kinda williams ata replace hyo nafasi
Amiri Kayera
Majerah yanamuandama san
Ernest
Bado naona Man U wakiwa na kikosi kipana na kupata wa kucover nafasi yake japokuwa Shaw ni mzoefu na mechi kama hizi
Povel tz
Luke Shaw amekuwa co mchezaj mwenye mwendelezo mzur wa kiwango chake kila msimu ni mchezaj wa kupata majerah kila msimu hawez malizah bila kutumiah ni habar mbaya sana kwa mashabik wa United
Revina
Duh ni habari mbaya kwa Timu mchezaji wao kuandamwa na majerahaa
devotha
hii habari mbaya pole sana Luke
lombo
bad news
Samiah
Nihabari zakuckitisha
farida ahmadi
Pole Sana shaw itakuwa pengo kubwa Sana kwa man u
Salma
Aiko pouw kwa upande wake
Fatuma kasomo
Pole sn
Latifa juma mohamed
Habari mbaya kwa mashabiki wa man u kutokuwepo Shaw beki mahir upand wa kushoto get well soon.
Leonard
Pigo kwa man u
Ester jackson
Game ya Chelsea na Manchester united imekuwa na mshike mshike wa majeruhi sana tusubiri atakuwa nani bigwa leo
Tatu
Pole kijana man wamebaki na pengo
Flomena
Bado sijaona kupata nafuu.
Brandon analeta matumaini ya kucheza, atakupo mazoezini leo na jicho lake tutaona kama ataweza kuuona mpira pindi atakapo kuwa uwanjani, atakuwa sawa.
Mariam mtandama
Pole yake
Isaya massawe
Mungu amjalie wepesi aweze kurejea maana ni beki anaefanya vizur
Franky
Pole yake alipania mechi sanaa
Rehema
Pole sana
Neema juma
Pole yakee shaw
Asia Abdy
Pole sana shaw
Theckla
Pengo kubwa kwa man u
warda
Ndo Mana Man U Tulifugwa#Meridianbettz
sabrina
Pole bhana
mwakalosi
huyu shaw anatugharimu sana na kuumia kwake hovyo hovyo tu