Nimerudia tena kuisikiliza ‘Mungu yuko wapi’ ya Nay Wa Mitego kwa mara ya pili. Si kwasababu sijamuelewa, wala si kwasababu ninataka kuungana nae, pia si kwasababu ninataka kumkosoa kwa kuwa kila mtu ana haki ya kuamini apendavyo yeye.

Ila ni kwasababu ninataka kujihakikishia kama kweli hajamtaja Clatous Chota Chama kwenye verse yoyote hapo ndani. Mungu wa Chama yupo wapi hadi akakubali acheze mbali na dunia namna hii? Ila najipa jibu kuwa itakuwa anatupenda sana, anapenda tupate burudani ndio maana amemruhusu aje acheze huku kwetu.

Safari yake ilianza kutambulika pale Zesco, kwa miguu yake miwili akaifikisha nusu fainali ya Club bingwa Afrika. Waarabu fulani kutoka Al Ittihad wakaona hastaili kuishi chini ya jangwa la sahara, wakamvuta Kaskazini mwa Afrika. Akapishane na akina Saleh Gomaa, Akram Tawfik na Amri Barakat wa Al Ahyl pale Borg El Arab.

Sitaki kujua sababu gani ilimrudisha nyumbani kwao Zambia, labda alipenda tu kurudi kuwapa burudani watu nyumbani pale Lusaka Dynamos. Huwezi kujua. Ila ninataka tu kumjua aliyemleta huku kwetu Tanzania. Bahati iliyoje kuiona miguu ya Chama ikikanyaga mpira katika ardhi yako!
Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


Sadick
Chama na mchango muhimu pale unapohitajika sana. Scout ya Simba inasitahili heko kwa hili#meridianbettz
Elika
Namuelewa sana chama..yuko vizur
Lydia Emmanuel Magoti
Chama anamchango mkubwa Sana pale anapo itajika kiungo mahili Sana Kama chama anafanya alicho tumwa mwamba uyo kaja kupiga kazi msimbazi uyo anakubalika kila sekta mpambanaji huyo
Omary lukumbi
Chama ana mchango mkubwa simba
Magdalena
Chama mpira anauelewa sana
Nasra
Chama kwa alipifikia ni pazuri
David Pere
So kweli vyama vipo vingi Sana wasitudanganye
Khadija
Makala imekaa poa sana#meridianbettz
Fatina mfingi
Chama ni mchezaji bora sanaa
Theonestina
Chama Yuko vizur Sana
caroline
chama ni mchezaji mzuri sana
aisha
Yuko vizuri sana
Zuhura omary kindamba
Chama yuko vizuri sana
Shafii
Chama yuko vizuri Sana na anamchango mkubwa Sana kwenye club ya simba.
felister
Mimi ata sijaelewa chama ni jina la mtu au…?
Furahav
Chama yuko vizuri sana.
Dorophina
Chama anakipaji kizuri tu simba wametokea kumuamini sana
Genia Sikaluzwe
Chama ni mchezaji mzuri mno
mwajumah
Chama yuko pow sana
Gabriel
Anajitahid
Angelina
Chama yuko poa
MnonganeJR
Fundi wa mpira triple c mwamba wa Lusaka ,Chama anajua mpaka anakela
Zeiyana
Chama yupo vizuri sana ni bora angebaki tu uko uko uku Tanzania hakuna mpira
Saupha mohamed
Chama yupo vizurii sanaa
Sylvester
Chama bonge la mchezaji ambae nadhani kwa sasa vilabu vya nje vishaanza kummezea mate na ataendelea kuwapiga utopolo kila mechi atakayocheza,namtakia mafanukio mema
Hope mwaikuka
Chama ni nomaa sana
Samira
Ni kweli kabisa yupo mmoja na hakuna atakaeweza kucheza kiwango chake
Amiri Kayera
Fundi wa mpila
Ernest
Kwasasa upande wa Bongo ukiwaongelea mafundi na viungo hatari huwezi kuacha kutaja jina la Chama, Amekuwa kwenye kiwango kizuri na msaada mkubwa kwa timu yake Simba adi kuweza kuwapatia taji msimu huu.
Povel tz
Chama mwamba wa Lusaka noma sana
Revina
Ukisema Chama yupo mmoja tu ni sawa kwasababu ni jina la mchezaji lakini ukisemea vyama viko vingi sana ,Naomba tulielewe ilo
devotha
Chama mtu m’baya
lombo
duuh hatar
Samiah
Hatari
farida ahmadi
Habari njema Sana
Salma
Yupo vizuri kijana
Fatuma kasomo
Namkubali sn
Latifa juma mohamed
Namkubali Sana chama yupo vizuri
Leonard
Chama ni mchezaji mzuri
Tatu
Chama anajua mpira bonge la kiungo na mchezaji nzuri wa simba
Ester jackson
Huo ni mtazamo wako
Flomena
Yuko vizur
Mwanahamisi
Chama jembe
Mariam mtandama
Chama yupo vizur sana
Isaya massawe
Chama anafanya vizuri sana
Franky
Muongo uyoo
Neema juma
Anajitahidii kwa kweli
Asia Abdy
Yuko gud
Theckla
Chama anajua majukum yake awapo uwanjani
warda
Ila Huyu Chama Ni Noma #Meridianbettz
sabrina
Chama jeshiii
mwakalosi
mwamba wa lusaka siku akiwa kwenye ubora wake ni mtu hatari sana huyu mwamba