Baada ya soka kusimamishwa nchini Ufaransa kwa zaidi ya miezi 4 kutokana na janga la Corona, hatimaye mabingwa wa Ligue1 PSG wamerejea tena dimbani kujiandaa na mchezo wa Robo fainali Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atalanta.
Timu ya Thomas Tuchel imecheza katika dimba lake la Parc des Princes, mbele ya mashabiki wake (japo idadi ndogo tu imeruhusiwa).
PSG ikiongozwa na mastaa wake kama Neymar, Icardi na Mbappe ambao wote wameweka kambani, wameipiga wiki (7-0) timu ya Ubelgiji ya

Kocha wa huyo wa PSG Thomas Tuchel anadhamira ya kuendelea kuwaweka sawa vijana wake kuelekea mashindano ya Ulaya UEFA mwezi ujao na wachezaji hao wameonekana kuwa sawa kwelikweli baada ya kuwadondoshea kipigo kizito timu ya Waasland Beveren 7-0
Beki Aleksandar Vukotic alijifunga dakika ya 21 ya mchezo baada ya kujaribu kuokoa mchomo mkali wa Kylian Mbappe
Psg waliweka chuma cha pili kwa mkwaju wa penati dakika saba baadaye wakati Neymar alipojaribu kutafuta goli.
Baada ya kipindi cha pili wenyeji wa uwanja walipata penati nyingine, wakati wageni walipokuwa pungufu na kuruhusu Neymar kutupia kambani kwa mara nyingine.
Walakini, mara hii Neymar hakuleta ubinafsi na kumuachia Icardi na kutupia wavuni, Bao la nne liliwekwa kimiani na bingwa wa kombe la Dunia Mfaransa Kylian Mbappe
Ni kama walivyofanya kwa Le Harve, PSG walicheza mechi ya kirafiki huku kukiwa na mashabiki kadhaa katika dimba la Parc des Princes huku kamera zikionesha kukosekana kwa kuchukua tahadhari za kujikinga na maambukizi ya Corona kwa nashabiki kukaribiana.
Kuna ofa kibao unazaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


Rehema
Aisee hii makala imetulia sana
Sadick
Pamoja na ushindi huo PSG ijiandae kukabiliana na Atalanta iliiyoonyesha uwezo mkubwa wa kucheza soka la kushambulia kiasi cha kuwa timu iliyofunga magoli mengi msimu huu Serie A#meridianbettz
Elika
Habar njema sana hiii
Isaya massawe
Atalanta siyo timu rahisi PSG wanatakiwa kujipanga zaidi
Khadija
Habari njema#meridianbettz
Magdalena
Habari njema Sana hizi
Furahav
Psg wana wachezaji wenye vipaji vingi sana,ila huwa hawa fiki kokote.
tumaini
Maoni: nawakubal sana PSG wako vizur
David Pere
Atalanta wapo vizuri sanaa PSG watapigwa tu wasijiamini sanaa
Theonestina
Asanteni meridianbet kwa taarifa
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana PSG mnastairi pongezi mpo kwenye levo nzuri kwaio inabidi mjipange kisawa sawa
caroline
big up PSG keep it iup
Genia Sikaluzwe
Ahsant #meridianbet kwa taarifa
aisha
Psg nawakubali sana wako vizuri
Zuhura omary kindamba
Nawakubali sana PSG wako vizuri
Shafii
Atalanta inapaswa wakae mkao wa kula maana PSG kwa sasa inamolari kubwa Sana.
felister
kila mtu atalanta Yuko vizuri Yuko vizuri siku zote mpira dk 90 msiyatupe maneno mubakize na ya akiba😂😂
Issa
Psg wajipange kuitoa atalanta si kazi rahisi atalanta ina soka la kushambulia na
La kasi mda wote
Omary lukumbi
Kwa psg km season mpya kwao
mwajumah
PSG nawakubali sana#Meridianbettz
Dorophina
PSG kwa sasa inayumba sana sijui wanakwama wapi
Gabriel
Hii n habar njema sana 👍 kwa mashabiki ambao tuanaofatilia lig ya ufaransa kuona inarejea kwa kishindo hapa natarajia kuona mtanange mkal maana Atalanta nao wako vzur tena sana huku nako kikosi cha Thomas tuchel nao wamejianda vzur sana huu si wa kukuosa kabisa
Angelina
Good news
MnonganeJR
Asante kwa update za michezo
Zeiyana
Walijitaidi PSG ila wasihishie hapo tu bado wana safari ndefu
Saupha mohamed
Good news
Hope mwaikuka
Axante kwa habar
Sylvester
P S G nafkiri nafasi yake ya kuaga mashindano imefika kwani Napoli ni moto wa kuotea mbali saiv uhakika 100% PSG wanaaga mashindano
Samira
PSG wajipange vizuri atalanta sasa hivi wapo vizuri sana
Amiri Kayera
League yao nyepes t
Povel tz
Psg noma SANA
Revina
Atalanta sio wa kuwapimia ,moto walionao sio wa kitoto PSG wajikaze
devotha
asante sana kwa makala
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet
Samiah
Asantee kwa makala
farida ahmadi
Asante kwa taarifa meridianbettz
Salma
Taharifa nzuri
Fatuma kasomo
Psg wanakibarua
Latifa juma mohamed
PSG hatar
Leonard
Psg wapo vizuri
Tatu
Good news
Ester jackson
Hii n habar njema sana kwa mashabiki ambao tuanaofatilia lig ya ufaransa kuona inarejea kwa kishindo hapa natarajia kuona mtanange mkali baina yao mana wrote wanauwezo wa kupambana vilivyo
Flomena
Ni kama walivyofanya kwa Le Harve, PSG walicheza mechi ya kirafiki huku kukiwa na mashabiki kadhaa katika dimba la Parc des Princes huku kamera zikionesha kukosekana kwa kuchukua tahadhari za kujikinga na maambukizi ya Corona kwa nashabiki kukaribiana.
JULIANA
Asante kwataharifa
Neema juma
Wanajiamini sana wako vzr PSG
sabrina
Asante kwa taarifa
Asia Abdy
Atalanta wako motoo
Theckla
Psg wako vizuri Sana
warda
Watafanikiwa Tu#Meridianbettz
Theonestina
PSG wako vizur Sana
mwakalosi
atalanta anatoa dozi kubwa na wana Morale ya juu sana psg ajipange aisee