Kocha Frank Lampard kuelekea mechi ya Manchester United vs Chelsea kwenye nusu fainali ya Kombe la FA amesema; “Mabeki wangu wanatakiwa kuwa makini sana, kwasababu kwa aina ya wachezaji wenye kasi kama wa Man utd wanaweza kutengeneza tukio ambalo kiuhalisia halina ukweli.”
“Tunaelewa uwezo walionao wapinzani wetu, mchezaji kama Bruno Fernandes, kwasababu anauwezo mkubwa kwenye mikimbio yake. Na hata kwenye mechi dhidi ya Aston Villa tuliona alivyotengeneza penati wakati kiukweli haikuwa penati.”

“Ningependa sana kusema kwamba kwa uwepo wa VAR basi maamuzi yanayofanyika yanakuwa haki kwa kila timu zote mbili, lakini ukweli ni kwamba kwa kipindi tulichopo imekuwa ikilalia sana upande wa Man utd, wao wamekuwa wakifaidika zaidi.”
Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


Rehema
Asante meridianbet kwa taarifa
Sadick
Teamwork tu ndio inaweza kuokoa Chelsea na kipigo, moto wa Man sio rahisi kuzimika hata hivyo mpira dakika 90 #meridianbettz
Magdalena
United sizani kama watakubali kuachia nafasi ya kwenda fainal
Khadija
Hawawezi kuiachia nafas hiyo ya kwenda united#meridianbettz
Elika
Ngoja tuone itakuwaje
David Pere
Awe na tahadhali kweli maana Sasa hivi Man U ishakuwa kwenye njia take anayekuja mbele take ni kipigo tu
Genia Sikaluzwe
Tunangoja tuone itakuwaje ataondoka kweli man u
Lydia Emmanuel Magoti
Man U awawez kuwachia uwazi huu nawao wana taka washike kidedea kwenye mtanange huo wataweza kuacha nafasi hiyo yakwenda Fainali itakuwa ngumu Sana iyo man U anakuja Kama faya akubali kushindwa
Zuhura omary kindamba
Tutaona kama kweli man u watatoka
caroline
lampard chukua tahadhari kabla ya hatari
aisha
Lampard uko sahihi kabisa
Shafii
Mechi moja Kali Sana sio ya kukosa hii ndo fainali yenyewe sasa ila dk 90 zitaongea nani ataibuka mbabe.
felister
Mimi langu jicho nasubiria nione mana mpira hautabiliki
Issa
Lampard anajihami tu man washaipiga sana chelsea hivyo ni kama lampard anajijihami ila kichapo kitamuhusu
Furahav
Man u hii mechi lazima ashinde.
mwajumah
Asanten kwa taarifa#Meridianbettz
Dorophina
Man u hawawezi kuwaachia watoto tu hao
Gabriel
Hii mech Chelsea wanaopportunity kubwa ya ushindi ila Kama watacheza kimazoea man u wanaweza kushinda kwan ukiangalia mifumo yao ya uchezaji tunaona kabsa Chelsea wako vzur kuanzia bek upande wa middle mpk viongo wa mbele wako vzur sana
Angelina
Man u anashinda mapema tu
MnonganeJR
Safi lampard kwa kujua hatari ya man utd
Mjipange Sana maana man utd wamekuja kivingine kabisa#meridianbettz
Omary lukumbi
Safi sana lampard km ana liheshimu hilo
Zeiyana
Hii sio ngumu sana kwa Chelsea lampard asiwe na of sana hajimini tu mpira matokea yake dk 90
Saupha mohamed
Man IPO vizuri lazima ishindee
Samira
Hapa man utd lazima washinde
Hope mwaikuka
Man U wako vzur
Sylvester
Nafkiri mechi ipo 50 fifty na yeyote anaweza kubuka mshindi kwani kwenye safu ya mabeki Manchester sababu Luke ni majeruhi basi nahisi Chelsea wanaweza penya ngome kiurahisi upande wa kushoto
Ernest
Hii mechi unaweza Man U wanakazi nyepesi kutokana na ubora wa kikosi chao lakini ninavyoamini mimi Chelsea wanatabia ya kubadilika badilika hivyo matumaini yangu Chelsea watafanya mapinduzi leo
Amiri Kayera
Itakua mechi ngum san
Povel tz
Ngoj tuone dk 90
devotha
asante kwa taarifa
Revina
Ni kweli anachosema Lampard bila kuwa na ushirikiano wa kutosha kuepukana na kipigo ni kazi bure lazima awe na tahadhari
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Samiah
Ngoja tuone
farida ahmadi
Ngoja tujionee wenyewe leo
Salma
Mko vizuri meridian
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa
Latifa juma mohamed
Mtanange wa kibabe Sana, mwamuz dakika 90 najua man u hatokubali kuachia nafas
Leonard
Itakuwa mechi ngumu
Tatu
Sijui itakuwaje
Ester jackson
Anasema kweli kabisa kocha Lampard kwa timu ya Manchester united imekuwa inatengeneza matukia ambayo ukiangalia hajana ukweli ambao uongozi wa VAR huwa wanawabeba sana. Lakini kama Chelsea watacheza kwa umakini wa zaidi wataoata mafanikio mazuri sana .kila laheri Chelsea
Flomena
Ningependa sana kusema kwamba kwa uwepo wa VAR basi maamuzi yanayofanyika yanakuwa haki kwa kila timu zote mbili, lakini ukweli ni kwamba kwa kipindi tulichopo imekuwa ikilalia sana upande wa Man utd, wao wamekuwa wakifaidika zaidi.
Isaya massawe
Nikiangalia man united wanavocheza na Chelsea inavocheza wakiwa uwanjani naona kabisa mechi hii ya Leo no ngumu kutabiri mshindi ni nani
Franky
Good news
Neema juma
Hataree tupu sijui itakuaje
sabrina
Mmmmh mpira dk 90
Asia Abdy
Mau u tunashinda
Theckla
Mkeka wangu Nampa Chelsea
warda
Tumeona kweli umechukua Tahadhali#Meridianbettz
mwakalosi
ole na degea wake wametukosea sana hii mechi