Mikel Arteta anaamini FA Cup haijawahi kuwasumbua kushinda Arsenal ikiwa wanaendakukabiliana na wababe Man City katika nusu fainali ya mashindano hayo.
Mara ya mwisho hizi timu mbili zilkutana katika hatua kama hii ya mashibdano, Arsene Wenger alihakikisha Pep Guardiola akiwa Manchester City hambulii kombe katika msimu wake wa kwanza baada ya Alex Sanchez kufunga goli baada ya muda kuongezwa na matokeo yaliisha 2-1.
Walakini, Baada ya hapo City wameshinda mechi zote saba walizokutana na Arsenal, ukijumuisha Fainali ya EFL 2018.

Kama Arsenal wakishinda mchezo huu watakuwa wamefuzu kuingia fainali na watamsubiri mshindi kati ya Chelsea au Man United siku ya Jumapili.
Arteta alishawahi kushinda FA Cup mfululizo pindi alipokuwa mchezaji akiwa chini ya mwalimu Wenger na hii ilikuwa msimu wa 2014 na 2015, ingawa kocha huyo wa Arsenal anaona mchezo huo dhidi ya City utakuwa mgumu kwani timu zote zimekuwa zikihitaji kushinda kombe hilo baada kukosa Premier League.
“Nafikiri, klabu nyingi zimekuwa zikitumia mashindano haya kutoa fursa kwa wachezaji wao kutoka akademi au kubadili vikosi vyao,” msaidizi huyo wa zamani wa Guardiola alisema.
“Tizama katika nusu fainali, angalia ni kwa kiasi gani wachezaji wanavyo jaribu kupata ushindi na kutwaa taji.
Arsenal iliwafunga 2-1 mabingwa wapya wa Premier League Liverpool katikati ya wiki na kukamilisha ushindi wao wanne.
Kuna ofa kibao unazaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


Neema juma
Sawaa nimewaelewa kikubwa msilegeee mkazane
Janeflora malisa
Mpambane vzr
Magdalena
Dakika 90 ndo mpango mzima
Omary lukumbi
Mikel arteta ana jiamin kulingana rekodi waliokua nayo
Lydia Emmanuel Magoti
Nivizuri wakakaza buti kwenye mchezo unao fatia Asrenal mpambane zaidi kwenye nusu Fainali hiyo
JULIANA
Itaeleweka tu
Isaya massawe
Mechi hii itakua Kali sana
Dorophina
Arsenal akaze buti wapange upya kikosi Chao vizuri
felister
mpira dk 90
mwajumah
Mpambane tu #Meridianbettz
Angelina
Acha tuone nan ataibukamshindi
Rehema
Kitaeleweka tu
Sadick
Waswahili wanasema maneno matupu hayavunji mfupa. Tuone vitendo uwanjani#meridianbettz
Khadija
Mpira dakika90#meridianbettz
Furahav
Ngoja tuone km itakuwa hivyo.
tumaini
Maoni:hiyo mechi kali sana
David Pere
Mwaka huu itawawiya ngumu Sana maana kila timu unataka kulichuka Hilo kombe
Genia Sikaluzwe
Mpira dakika 90
Fatina mfingi
Asnteh kwa taarifa
Zuhura omary kindamba
Hii mechi itakua Kali sana
caroline
haa patachimbika.watu wanajiamini
Shafii
Arsenal achomoki hii mechi fainali ya fa itakua Kati ya Chelsea na man city.
aisha
Acha tusubili baada ya dk 90 nini kitatokea
Issa
Arteta ajipange city ni timu ambayo haiteteleki ukizingatia uwepo wa kelvin dw brunye pale kati ni hatari sana
Gabriel
Naikubal tena sana Arsenal jeshiii
MnonganeJR
Arsenal ya arteta inabid mpambane
Man city Sio Tena ya mchezo#meridianbettz
Zeiyana
Asante kwa makala
Saupha mohamed
Moira dk90 tusubili matokeo
Hope mwaikuka
Vzur
Samira
Arteta anaanza majigambo mechi yake yenyewe mbovu
Amiri Kayera
Anajip moy nakikos chake kibov
Povel tz
History hazichez Mikel Arteta ngoj tuone dk90
Revina
Ukiingia vitani unatakiwa kujiamini ,sasa kama timu wanavyojiamini ,sio raisi kushindwa kizembe zembe
devotha
anajipa moyo na matumaini tu
lombo
kaz but maneno kitu sipo
Samiah
Kitaelewekatu
farida ahmadi
Ngoja tujionee wenyewe leo
Salma
Makala nzuri
Fatuma kasomo
Kitajulikana tu
Latifa juma mohamed
Kitu kitajulikana uwanjan maamuz Zaid dakika90
Tatu
Hii mechi itakuwabkali
Ester jackson
Kocha Arteta anajiamini sana na kujiamini kwake kumeleta mafanikio kwao
Flomena
Nafikiri, klabu nyingi zimekuwa zikitumia mashindano haya kutoa fursa kwa wachezaji wao kutoka akademi au kubadili vikosi vyao
Franky
Ni ngumu banaa
sabrina
Ndio mkaze sasa
Asia Abdy
Safii
Theckla
Uhalisia dk 90 ndio Kila kitu
warda
Kujiamini tu#Meridianbettz
mwakalosi
haya sasa wakakamilishe usemi wao kwa kumfunga Chelsea sasa