Jorge Jesus Kuinoa Benifica Kwa Mara Nyingine.

Jorge Jesus amechaguliwa kuwa kocha mkuu wa Benifica kwa mara ya pili baada ya kuachana na mabingwa wa Brazil na Amerika ya Kusini klabu ya Flamengo.

Benifica wamefikia maamuzi ya kumrudia tena mkongwe huyo wa Ureno Jesus baada msimu huu kutofanya vizuri sana na kuzidi na mahasimu wao Fc Porto katika ligi ya Primiera ambao wapo kileleni mwa ligi hiyo.

Flamengo walikuwa na tumaini la kumbakisha Jesus, ambaye amepelekea kutwaa mataji kama Campeonato Brasileiro, Copa Libertadores na Recopa Sudamericana tangu atue klabuni hapo mwaka uliyopita.

Walakini, Jesus amejiunga tena na Benifica,ammbako kipindi cha nyuma alitumia miaka sita kuifundisha timu hyo na kushinda vikombe vitatu vya ligi pamoja na mafanikio mengine akiwa Lisbon.
“Licha ya kujutia kumpoteza kocha wao wa ushindi, Flamengo tunaheshimu hayo maamuzi yake binafsi,” Flamengo walisema hayo katika melezo.

“Kwa niaba ya bodi na mashabiki wa timu yetu tunatoa shukrani zetu za dhati kwa kocha Jorge Jesus, na kamati yake kwa kila kitu ambacho ameifanyia timu yetu na tunamtakia kila la kheri na mafanikio kama aliyoyapata akiwa hapa Flamengo.

Baada ya kushinda taji la pili la Libertadores tangu mwaka 1981 mwezi Novemba Flamengo walishinda Ubingwa wa Brazil kwa mara ya saba.

Jesus mwenye umri wa miaka 65 aliandika kupitia mtandao wa instagram “Ilikuwa ni miezi 13 yenye umoja kamilifu, kipindi ambacho nilikuwa na furaha sana, nilijihisi niko nyumbani, na tumepata mafaniko yasiyo sahaulika.Lakini leo tumekutana na bodi ya Flamengo na tumefikia maamuzi ya kumaliza uhusiano wetu,bila kuchukiana wala kushushiana heshima.

 


 

Kuna ofa kibao unazaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu

Bonyeza HAPA Kujiunga.

48 Komentara

    Namkubali sana uyu kocha

    Jibu

    Sawaa kama karudii ila jamaa kanunaa kinomaa duu

    Jibu

    Jorge Jesus ni kocha mazuri sana

    Jibu

    Jorge Jesus ni kocha mwenye mbinu zake kutoka na histor yake alitumia nguvu zake za ziada amabyo amepelekea kutwaa mataji kama campeonato,brasileiro,libertadires na Recopa sudamericana tutokana na kutokufanya vizuri sana ligi ya benifica na fc Porto lakini bado klabu ya benifica imetambua humuhimu wake

    Jibu

    Ni kocha mzuri naamini ataleta mabadiliko

    Jibu

    Kila la kheri Jorge Jesus katika maisha yako mapya na Benifica

    Jibu

    Benfica wameona ufalme wao unatishwa na Porto wameamua kuleta Kocha mwenye mafanikio#meridianbettz

    Jibu

    Kila la kheri kwake…natumai atafanya vizuri zaidi

    Jibu

    Safii Sana namkuba kocha Jorge Jesus nikocha mwenye uwerewa nakujua Nini anakifanya Kira laheri kocha kwenye maisha yako mapya

    Jibu

    jorge jesus ni kocha mzuri ataleta mafanikio makubwa kwa benfica

    Jibu

    Kila lakheli jorge

    Jibu

    nakutakia mafanikio mema katika safari yako mpya Jorge

    Jibu

    Kila la kheri jorge jesus

    Jibu

    Ni kocha mnzur sana

    Jibu

    Jesus yupo vizuri naamini ataleta mafanikio benifica

    Jibu

    Atalet mafanikio

    Jibu

    Benifica wamepata kocha mzuri sana

    Jibu

    Pongezi kwake inaonesha ni jinsi gani wameikibali kazi take mpaka kufikia kumrudisha kwa Mara nyingine

    Jibu

    Ni kocha mzuri sn namkubali

    Jibu

    Namkubali sana huyo kocha#meridianbettz

    Jibu

    Itakuwa vizuri.

    Jibu

    Maoni:Nikocha mzuri

    Jibu

    Ni kocha mzuri sanaa kwao Ndio maana wakaamia kimrudisha Tena

    Jibu

    Ni uwamuzi mzuri sana walioufanya wa kumleta kocha mzuri

    Jibu

    Habari njema kwa benifica Caz Jorge Jesus ni kocha mzoefu na mzuri .

    Jibu

    Jesus rudi nyumbani tena benfica imekuamin waonyeshe kuwa we ni kocha

    Jibu

    Habar njema sana 👍

    Jibu

    Bigup kwake#meridianbettz

    Jibu

    Makal iko poa sanaa

    Jibu

    All ze best

    Jibu

    Ni kocha mzr tuu

    Jibu

    Kila la kher kwake

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    mamb ni moto na meridianbet

    Jibu

    kila la kheri

    Jibu

    Kila la heri kwa timu ni kocha mzuri sana

    Jibu

    Kila lakheri

    Jibu

    Hongera Sana Jorge

    Jibu

    Good

    Jibu

    Kila kheri

    Jibu

    Kocha mzur Sana kila la kheri

    Jibu

    Aje alete mafanikio

    Jibu

    Hugo kocha yupo vizuri

    Jibu

    Benfica ameona kunahatari inakuja wamemleta mtu mahiri sana

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Mkali Huyu#Meridianbettz

    Jibu

    Kocha mkali sana atawafaa

    Jibu

    mafanikio ya nyuma yasimpe jeur shauri yake miaka sita inaweza kugeuka miezi sita au wiki sita tu kibarua kikaota nyasi

    Jibu

Acha ujumbe