Gianluigi Donnarumma amehamasika kuendelea kusalia kunako klabu ya AC Milan na imeripotiwa ya kwamba golikipa huyo ataongeza mkataba msimu unaofuata, hii ni kwa mujibu wa kocha mkuu Stephano Piolo.
Donnarumma mwenye umri wa miaka 21, ameripotiwa kusaini mkataba mpya na klabu hiyo inayo shiriki ligi ya Serie A, dili ya yake sasa inatarajiwa kuisha mwaka 2021.
Alipokuwa akingoea baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Parma siku ya Jumatano, Muitalia huyo Piolo alisema hayo na alikuwa ni mwenyefuraha katika uwanja wa San Siro.
“Hakuna mtu anaweza kuongelea mipango yao mbele, tunatakiwa tuendelee kuangalia kile kilichopo sasa,” Piolo alisema kwenye Sky Sport Italia.
“Namuona yupo sawa na anahamasikakuendelea kusalia klabuni hapa. Anaonesha kiwango kizuri .
“Nataka kufurahia maisha ya ufundishaji nikiwa na timu hii, ni furaha kufanya nao kazi.”
Donnarumma amecheza michezo 198 akiwa na timu ya wakubwa tangu ajiunge na Milan mwaka 2015-2016.
Mlinda mlango huyo amekuwa akihusishwa na kupenda kujiunga na vilabu vya Chelsea,Paris-Saint Germain na Tottenham hali ya kuwa hana uhakika na matarajio yake na Milan hapo baadaye.
Kuna ofa kibao unazaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.
Ester jackson
Pongezi kwa nyongeza mkataba
Tatu
Donnarumma ni golikipa anayejituma kocha wa Ac Milan wamefanya kitu poa kuendelea kumsajili club hapo
mwajumah
Asante kwa taarifa#Meridianbettz
aisha
Hongera sana kwa kuongeza mkataba tena piga kazi broo
Magdalena
Kama bado ana manufaa napo abaki tu na aongeze mkataba
Fatina mfingi
Umefanya jambo zur
Elika
Anastahili kubakia hapo..pia pongezi kwake kwa kuongeza mkataba
Khadija
Abaki tuu milan#meridianbettz
caroline
Donnaruma Millan panakufaa
Angelina
Ni maamuzi mazuri kama ameona panamfaa
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema Kama ameamua kubaki
Dorophina
Donnarumma ni halali yy kubaki milan kwan ndio kunamfaa akubali tu kuongeza mkataba
Mwanahamisi
Abaki tuu milan
Lydia Emmanuel Magoti
Abaki tuu milan
Adelta
Maamuzi yake mazuri
Johnmary joel
Nimewayakubali maamuzi yake#meridianbett
Franky
Ni habari nzuri kwakweli#meridianbet
Ernest
Deal zuri kwa Donnarumma
Fatuma kasomo
Maamuzi mazuri kama panamfaa
Isaya massawe
Kipa mzuri sana huyu
MnonganeJR
Asante kwa update za michezo# meridianbettz
Samiah
Pongezi kwakuongeza mkataba
Furahav
Baki uendelee kupambana.
Njiku
Nimeipenda hii safii sana
Gabriel
Ni habar njema sana 👍 kwa mlinda mlango huyo kuwa amefikia maamuzi ya kukubali kusaini mkataba mpya, baada ya kusitisha mpango wake wa kugoma kufanya hivyo.
Mkataba mpya wa mlinda mlango huyo, utampa fursa ya kuendelea kubaki klabuni hapo hadi mwaka 2021, na pia unavunja tetesi za kutaka kuhamia kwenye klabu za Real Madrid na Manchester United, ambazo zilikua zinatajwa kumuwania katika kipindi hiki cha majira ya kiangazi.
Mkataba wa sasa wa Donnarumma ulikuwa unafikia kikomo mwishoni mwa msimu huu
christopher
Huyu jamaa umri mdogo lakini ana mafanikio makubwa
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi
lombo
saf
Tahiya
Ameonyesha kiwango kizur anastahili kubaki
devotha
asante kwa taarifa
Povel tz
Habar njema
sabrina
Hongera Donnarumma kwa kuendelea kusalia AC milan
Amiri Kayera
Ni Jambo zur
Omary lukumbi
Ni goli kipa mzr aliegonga vichwa vya habar hv karibun
Janeflora malisa
Good
Saupha mohamed
Abaki tu Milan
Edgar
Habari njema aendelee kupambana
Salma
Yupo sahihi abaki tyu
Theckla
Maamuzi sahihi
David Pere
Acheze kamari tu abakie aendelee kupata mafanikio au asipate mafanikio so uamuzi kwake
mwakalosi
kwa msimu huu inabidi abaki milani ilo aweze kutengeneza kiwango chake
Sadick
Chelsea inahitaji Golikipa wa kiwango cha juu kuchukua nafasi ya Kepa , huyu bado aendelee kubaki AC Milan ambao wameonyesha nia ya kuendelea kumuhitaji#meridianbettz
felister
ana manufaa napo ndio mana anataka kubaki
Zeiyana
Millani hawezi kumuuza kipa wao bado hana umuhimu sana kwao
Rehema
Maamuzi sahihi
Latifa juma mohamed
Maamuz sahihi km akion bado pansmfaaa
Shafii
Nadhani maamudhi aliyo amua kwake ndio sahihi.
Hope mwaikuka
Sawa tu
Issa
Kipa mzuri abaki milan panamfaa zaidi
Asia Abdy
Abakii
Neema juma
Yuko vzr sana abaki tu
warda
Huyu Gianluigi Donnarumma Namfananishaga na Messi sana