Tetesi za soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Manchester City wametakiwa kuweka mezani kitita cha pauni milioni 65 kwa ajili ya beki wa Napoli Kalidou Koulibaly ,29, ambaye anauhishwa na taarifa za kuhamia Liverpool na Manchester United na awali alikuwa na thamani ya pauni milioni 80.

 

Tetesi za soka Barani Ulaya.

 

Manchester City inamtazama mshambuliaji wa Inter Milan Muajentina Lautaro Martinez,22, kama mchezaji muhimu katika kuchukua nafasi ya Sergio Aguero,32.

Hatahivyo, Martinez yuko ukingoni kumalizana na hatua za uhamisho kuelekea Barcelona.

Bayern Munich inatafuta pauni milioni 40 kwa ajili ya kiungo wao wa kati wa zamani Thiago Alcantare, Mhispania ,29.

 

 

Bayern wanafikiriwa kujitoa katika kinyang’anyiro cha kumnasa kiungo Kai Havertz,21 anayekipiga na Bayer Leverkusen.

Everton, Atletico Madrid na Bayern Munich wanatarajiwa kuweka nia ya kumnyakua winga wa Crystal Palace Wilfried Zaha msimu huu, huku Newcastle pia ikimfuatilia kwa karibu mchezaji huyo,27.

Southampton wana matumaini ya kupata mkataba wa kudumu wa pauni milioni 10 kwa ajili ya mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa Totteham, Muingereza Kyle Walker-Peters,23, ambaye anakipiga Saints kwa mkopo tangu mwezi Januari

Kocha wa Southamton Ralph Husenhuttl amekataa kufanya mazungumzo kuhusu uwezekano wa kubadilishana kiungo wa kati Pierre-Emile Hojbjerg,24, na Walker-Peters.

Kiungo wa kati wa Birmingham Jude Bellingham,17 amekubali kuhamia Borussia Dortumund kwa kitita cha pauni milioni 22.5.

 

Tetesi za soka Barani Ulaya.
 

Tetesi zinasema Kiungo wa Ghana Thomas Partey,27, anaripotiwa kujiandaa kusaini mkataba mpya na Atletico Madrid, ambayo imemuahidi kumpa mshahara mara mbili zaidi.

Pep Guardiola amefungua mlango kwa ajili ya kiungo wa kati wa Aston Villa Douglas Luiz,22, kurejea Manchester City baada ya kufuguliwa kwa dirisha la usajili mwezi Julai.

Tetesi zinadai Kiungo wa kati wa Liverpool Adam Lallana,32, ambaye anawaacha miamba hiyo kwa uhamisho huru msimu huu, ananyemelewa na Leicester,Burnley na Brighton.

 

Tetesi zinasema Beki wa Tottenham Danny Rose,30, ameendelea kuwa na matumaini ya kuufanya mkataba wake kuwa wa kudumu katika klabu ya Newcastle, huku kukiwa na taarifa za kuhusishwa kwake na Lazio.

Middlesbrough wanaelekea kukubali kumpoteza beki wao wa kulia, Muingereza Djed Spence,19 msimu huu wakati vilabu kadhaa vya primia wakiwemo Tottenham, West Ham na Brighton wakijiandaa kuongeza kasi ya kumnasa mchezaji huyo.

Kiungo wa Everton Mo Besic,27, atakuwa tayari kuuzwa au kuondoka kwa mkopo msimu huu.

 

Tetesi za soka Barani Ulaya.

Portsmouth inatazamia uhamisho kwa mkopo wa beki wa kushoto wa Brighton Alex Cochrane,20.

Kocha wa Wolves Nuno Espirito Santo hana uhakika iwapo mshambuliaji Raul Jimenez,29, atakosa mechi yoyote kwasababu ya kutarajia kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza.


Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu

Bonyeza HAPA Kujiunga.

52 Komentara

    Man city wafanye haraka kuweka kitita mezani ili wamchukue kalidou mezani

    Jibu

    Habari nzuri sana ingawa kiungo Kai Havertz,21 ambaye kwa taarifa ninio Iona kwenye mitatando ni kwamba Chelsea walishaweka makubaliano nae ya kumsajili sasa imegeukia kwa Bayern nao wapo kwenye kinyanganyiro cha kulipata saini yake hii inastaajabu sana kuona taarifa zake zipo tena kwenye usajili

    Jibu

    Ni habari nzuri#Meridianbettz

    Jibu

    Man city wajitahidi kuweka mzigo mezani ili wamchukue jamaa

    Jibu

    City wachangamkie nafasi ya uyo jembe

    Jibu

    Wafanye fast wachukue jembe hilo!!

    Jibu

    Man city wafanye juu chini ili waweze kumiliki vizuri huyo beki

    Jibu

    Chelsea walishaweka makubaliano nae ya kumsajili#meridianbettz

    Jibu

    dah milioni 65 kweli pesa madafu

    Jibu

    Man city watie mzigo wampate kalidou ni mchezaji mzuri kama wakifanikiwa kumpata

    Jibu

    Man City wafanye maamzi benki huyo nimzuri wanastahiri

    Jibu

    Man City haache ubaili aweke pesa mezan Mambo yaende sawa

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Habari nzuri hizo

    Jibu

    Wajipange vizuri make kitita hicho siyo cha kitoto#meridianbett

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri
    Mashabiki tunawakubali Sana meridianbettz

    Jibu

    Safi sana Thomas ..

    Jibu

    Naona vigogo wawili wakiingia kwenye mbio za kusaka kandarasi ya Lautaro Martinez lakini mwisho wa siku Pesa ndo itaongea hapa

    Jibu

    Wafanye faster wamchukue jembe hilo wanasubiri nini

    Jibu

    Safii Sanaa.

    Jibu

    Habari kemkem za michezo na meridianbet noma sana

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Zaha kwa man city..anaenda Lula mkeka
    Njoja tusubili na kuona#meridianbettz

    Jibu

    Makayla nzur

    Jibu

    Iko vizuri

    Jibu

    Nimeipenda sana hii kwa kiungo wa kati wa Birmingham Jude Bellingham,17 amekubali kuhamia Borussia Dortumund kwa kitita cha pauni milioni 22.5.
    Kiungo wa Ghana Thomas Partey,27, anaripotiwa kujiandaa kusaini mkataba mpya na Atletico Madrid, ambayo imemuahidi kumpa mshahara mara mbili zaidi. (Ghana SoccerNet,via Daily Mail)
    Pep Guardiola amefungua mlango kwa ajili ya kiungo wa kati wa Aston Villa Douglas Luiz,22, kurejea Manchester City baada ya kufuguliwa kwa dirisha la usajili mwezi Julai
    Kiungo wa kati wa Liverpool Adam Lallana,32, ambaye anawaacha miamba hiyo kwa uhamisho huru msimu huu, ananyemelewa na Leicester,Burnley na Brighton.

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Habari njema Sana kwetu mashabiki

    Jibu

    Mwisho wa siku pesa ndio itakayoongea nani ni nani

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Manchester city wavunje kibubu tu wamchukue

    Jibu

    Habar nzur

    Jibu

    Mambo yako moto sana kwenye usajili

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Itakuwa imekaa vizuri Sana Kama
    man city wakifanikiwa kumsajili

    Jibu

    Yaani kwa sisi wanamichezo tunasema Mambo mengi muda mchache lakini mpaka usajili utakamilika tu

    Jibu

    man utd haifanyi cha maana ili kuweza kuimarisha kikosi chao

    Jibu

    Kalidou Koulibaly ndie beki pekee ambaye kila msimu anahusishwa kuhama Klabu yake#meridianbettz

    Jibu

    ahsante kwa makala safi

    Jibu

    Sizani kama man city watawepa kuipata sain ya mchezaji huo ukiangalia wametoka kwenye faini ni pesa wametoa ili wamelizani na kesi ila itakua vizuri kama wainasa saini ya mchezaji huyo

    Jibu

    Meridianbet mko vizur sana makal

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Msimu ujao kweli kutachimbika viwanjani maana timu nyingi zinaangaika kutafuta wachezaji bora vikosini mwao.

    Jibu

    Exn for news

    Jibu

    City wafanye fasta wamsajili koulibaly atawasaidia kwenye ukuta wao

    Jibu

    Pesa itaongea

    Jibu

    Safii sana

    Jibu

    Huyu anajua#Meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.