Sahau kuhusu ‘mamilioni’ ya vivutio pale Brazil. Wasahau waholanzi walioiumba nchi yao kutoka baharini. Wasahau wagiriki walioanzisha shule na ‘philosophia’ duniani. Waulize wareno walifikiria nini kutunga wimbo wa taifa kabla ya mataifa yote duniani? Wakishakujibu, waulize walimpata wapi Bruno Miguel Borges Fernandes?
_
Historia yake duniani inaanzia mjini Porto mitaa ya Maia Ureno, alipozaliwa September 8 1994, miaka 25 iliyopita. Akiwa mtoto mdogo katikati ya mji uliojaa wahuni, walezi wake walihofia kuharibika kwa nidhamu yake, wakalazimika kumpeleka katika academy ya Boavista ili kumzuia kurandaranda mitaani.
_
Ndipo hapo ‘mabalaa’ yake yalipoanzia na kuwashawishi waitaliano Fulani kutoka Calcio kufunga safari kutoka kwao kwenda kumchukua Ureno. Baada ya kuitumikia timu ya watoto kwa wiki chache tu, alipandishwa timu ya wakubwa ya Calcio na kuichezea zaidi ya nusu msimu wa 2012-13. Yalipofika majira ya joto ya 2013, Bruno alijiunga na Udinese iliyokuwa Serie A.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
Furahav
Yuko vizuri.
devotha
namkubali sana Bruno! tupatie part two
Gabriel
Huyu jamaa anajua sana Kwa mara ya kwanza aliitwa katika kikosi cha Taifa mwaka 2017 akichukua nafasi baada ya Pizzi kuwa majeruhi, Alipata nafasi pia ya kucheza katika michuano ya FİFA kufuzu kombe la dunia dhidi ya Saudi Arabia akichukua nafasi ya Manuel Fernandez.
Mchezo wake wa kwanza kuanza kipindi cha kwanza na kumaliza ilikuwa dhidi ya USA. Akiwa katika Klabu ya Udinese alifanikiwa kufunga magoli 11 katika michezo 66 aliyocheza.
Baada ya Hapo alitolewa kwa mkopo katika Klabu ya Sampdoria ambapo pia alifanikiwa kufunga mabao 5 na goli lake la kwanza alifunga dhidi ya Calgiari. Hapo msimu 2017-18 alinunuliwa na Klabu ya Sporting CP ambapo katika michezo 5 alifunga mabao 4 ndani ya Primeira Liga.
Shafii
Bruno yuko vizuri.
Omary lukumbi
Msimu ujao utakua bora sana kwa club zilizokua zikidharaulika na bruno atafanya jambo
neema hassan
Yuko vizuri
Genia Sikaluzwe
Habari njema hiii
Hope mwaikuka
Imeeleweka hii
Edgar
Kweli kabisaa
David Pere
Bruno pale Man U atashaini Sana na ataweka Record nzuri Sana ambayo jaitasahulika katika vichwa vya mashabiki wa Man U
Aziza mushi
Bruno yupo vizuri.
warda
Nyie Meridianbettz mnajua kunifurahisha sana hii Bonus ya5%
Dorophina
Bruno Ni mchezaji mzuri naamini ipo siku atakuja kuweka historia nzuri sana man u awatamsahau
Isaya massawe
Bruno hatari Man u wamelamba dume yaani ananifurahisha sana akiwa uwanjani
felister
Atavunja record Bruno pale mjini old trafod
Khadija
Bruno yupo vizuri#meridianbettz
aisha
Bruno yuko vizuri sana
Zeiyana
Bruno yupo vizuri sana
Lydia Emmanuel Magoti
Bruno yupo vizuri
Njiku
Safii jamaaa yupo poa sana na man u wanafurahia kiwango chake
Rehema
Yuko vizuri
Samiah
Yupo vzr
caroline
part two iko wapi
Fatina mfingi
Makal nzur
Salma ngende
yuko vizuri
Amiri Kayera
Dhahabu ya man u
Asia Abdy
Sahih kabsa
lombo
saf
Sadick
Man U wanakila sababu ya kufurahia kwamba wamesajiri chuma cha pua#meridianbettz
Povel
Bruno yupo vzr sana
tumaini
Maoni:habari njema
sabrina
Bruno jeshii langu yuko sahihi
farida ahmadi
Bruno hanatisha sana
fatumakasom
Yupo vizuri
Latifa juma mohamed
Jeshi kubwa Bruno
Ernest
Bruno ni mchezaji hatari sana nadhani atakuwa mchezaji wa muhimu sana ndani ya Man U Msimu ujao
Theckla
Bruno yuko vizuri sana
Magdalena
United hawakukosea kabisa kumsajili Bruno waliona mbali kipaji chake