Yanga Vs Simba: HATIMAYE imewadia ile siku iliyokuwa ikusubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka, Tanzania, Afrika Mashariki na Ukanda wa Kusini na kati, ni mchezo wa kukata na …
Makala nyingine
Kariakoo Derby: Kuelekea mechi kubwa ambayo husimamisha nchi kwa dakika 90, na sio nchi tu bali kwa wapenda soka wote hawatasubiri kusimuliwa, mtoto hatumwi dukani muda huo. Makocha wa timu …
Meridianbet wamekuja na mzigo mkubwa kwaajili yako wewe mtu wangu wa nguvu, ambaye umekuwa ukiteseka na kuchana mikeka yako kila kukicha. Huenda ulikuwa unafahamau hili au huenda ulikuwa hujui kuhusu …
Meneja aliyetimuliwa wa Aston Villa Steven Gerrard amevunja ukimya wake kuhusu uamuzi wa klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Uingereza kumuondoa katika nafasi yake kufuatia kipigo cha mabao 3-0 ugenini …
Thibaut Courtois ameibuka kidedea baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa saba pekee mwaka uliopita, licha ya kushinda pia Tuzo ya Yashin. Kipa huyo wa Ubelgiji alisimama kidete katika lango …
Meriidianbet: Yule mtu aliyesema maisha bila soka hayaendi wala hakukosea, ni kweli kabisa mpira ni maisha na maisha ni mpira. Sasa kamata mzuka kamili wa mechi kali wiki hii, mzuka …
Wakala wa Erling Haaland ametabiri kuwa mshambuliaji huyo wa Manchester City atakuwa mchezaji wa kwanza wa soka kuwa na thamani ya paundi bilioni moja. City ilimsajili Haaland kwa dau la …
Jurgen Klopp hatakabiliwa na uchunguzi wa Chama cha Soka kuhusu maoni ambayo baadhi ya Manchester City wameyataja kwa faragha ‘chuki dhidi ya wageni’. Atakabiliwa na adhabu kutoka FA baada ya …
Reece James alikiri kuwa ameambiwa na daktari wa upasuaji anaweza kuwa nje kwa miezi miwili kutokana na jeraha la goti alilopata dhidi ya AC Milan mapema mwezi Oktoba. James alikuwa …
Akanji: Wiki chache baada ya msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza na wakati ambapo jumla ya mabao ya Erling Haaland yalifikia tisa zaidi, Manchester City ilinyakua saini nyingine kutoka Borussia …
Ligi kuu ya NBC kuendelea kutimua vumbi hii leo, baada ya michezo miwili kupigwa hapo jana. Namungo waliotoka kupoteza mchezo wao wa mwisho watakuwa dimbani kutafuta pointi 3 muhimu dhidi …
Meridianbet inakuja na ofa ya kibabe kabisa kwa wewe unaebashiri michezo mbalimbali kwenye kampuni ya Meridianbet unaweza kua mnufaika mkubwa ofa hii ya kibabe kabisa.Meridianbet wanakupa ofa ya ongezeko la …
Oktoba 14 siku ya kumbukizi ya Kifo cha aliyekuwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Kampuni ya Meridianbet wameweza kutoa Aprons zaidi ya 300 kwa wafanyabiashara hasa baba lishe na …
Nottingham Forest imewafuta kazi wafanyikazi wawili ambao walihusika sana katika usajili wa msimu wa joto ambao ulishuhudia wachezaji 22 wakijiunga na klabu, huku wakiwa wamekaa kwenye eneo la kushushwa daraja. …
Aviator: Ile kiu yako ya kucheza kasino mtandaoni, imepata maji ya kutosha, mwagilia kolomeo lako kwa kucheza mchezo bomba kabisa wa Aviator kutoka hapa Meridianbet Hauhitaji kuwa ‘makini sana’ sana …
Meridianbet: Usiku wa deni hakawii kukucha, yes ukisema hivyo utakuwa hujakosea kabisa ni usiku wa deni kwenye Ligi ya Mabingwa wiki hii, ni mechi za marudiano kutafuta kufuzu hatua ya …
West Brom wamemfuta kazi Steve Bruce kama kocha wao baada ya kuanza vibaya msimu huu. West Brom waliachana na kocha huyo mwenye umri wa miaka 61 kufuatia ushindi mmoja kati …
Meridiabet wamekuja na kitu kipya mjini kitakachokufanya uwe mshindi wa mamilioni kila kukicha, hii ni kupitia mashine za Sloti zenye michezo mingi na rahisi zaidi kushinda. Huenda ulikuwa unateseka na …
Najua ulikuwa unawaza ni wapi utaipata Kasino karibu yako, basi Meridianbet wamejibu kuhusu mawazo yako,mchongo uko hivi ukiwa na pesa yako unaweza kucheza Kasino kupitia mashine za Slot kwenye maduka …
Siku moja Bernard Morrison atafunga ukurasa wake kwenye soka la Tanzania, utachagua wewe umkumbuke BM3 kwa lipi, ila binafsi nitaikariri kurasa moja nzuri sana kutoka kwa Benny. Kwenye kitabu chake …