Ibrahim Class Ashinda kwa KO

Bondia Mtanzania Ibrahim Class ashinda kwa KO katika raundi ya tisa hapo jana katika mshindano ya ngumu ambayo yameanzishwa na muwekezaji wa Simba Mohamed Dewji maarufu kama (Mo Boxing) ambapo bondia huyo alikuwa akizitwanga na Alan Pina kutoka Mexico.

 

Ibrahim Class Ashinda kwa KO

Ibrahim ameshinda katika shindano ambalo halikuwa na ubingwa ambalo limefanyika jijini Dar es salaam, ambapo licha ya pambano hilo kulikuwa na mapambano mengine pia ambayo yalifanyika na watu walihudhuria kwa wingi.

Pambano hilo limeishia raundi ya 9 baada ya Alan Pina kupigwa ngumi nzito iliyomfanya aanguke chini na kudaiwa kupoteza fahamu kitendo kilichofanya atolewe ulingoni kwa haraka zaidi ili kupatiwa huduma ya kwanza.

 

Ibrahim Class Ashinda kwa KO

Baada ya kutolewa nje kwaajili ya huduma ya kwanza, taarifa zilitoka na kusema bondia huyo Mmexico anaendelea vizuri na yuko fiti. Mchezo huu sasa umekuwa pendwa sana kiasi cha watu wengi kuhudhuria kushuhudia ngumi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.